Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Walikuwa wanatarajia kuandamana kuhamasisha wananchi wasichague CCM, Wanadai CCM iliwahadaa katika ILANI yake ya mwaka 2005 ya kuanzisha mahakama ya kadhi. Afande kova anasema kuwa Mufti wa...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Kikao cha kuwajadili chaanza leo Watawekewa alama za kukubalika Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Wagombea 11 wa nafasi ya urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tatizo la Kikwete, ndiyoo.. huyu Raisi wetu.. Yeye anaaamini mtu yeyote yule anaweza kuwa Raisi, cha muhimu ni mbinu tu tena hasa mbinu chafu kama alizotumia yeye mwaka 2005 kuhonga wanahabari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mramba, Chenge `ruksa’ kugombea ubunge Imeandikwa na Oscar Mbuza; Tarehe: 4th July 2010 @ 08:40 WAKATI kukiwa na shauku ya kutaka kujua iwapo mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Andrew Chenge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asema ilikuwa kazi binafsi si ya chama Aeleza miaka miwili alikuwa anajifunza Aahidi hana mpango wa kuongeza mke Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Waziri wa miundo mbinu amesema majuzi kwamba serikali imeanza mchakato wa kuiunda upya lile shirika la ndege la tanzania atc lililokuwa likilalamikiwa kila siku kukichwa...yamkini wengi wanajua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
-wapeleka tuhuma zake ccm na takukuru akuna kilichofwata waanika ufisadi mzima wa viwanja wasimulia kwa data anavyouza viwanja watoboa anavyopata mamilion kwenye zabunu wadai alinunua maua kwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wengi wa watanzania akili yao ni ya kutingisha, maana hainingii akilini kama akili yao iko standard ama lah, we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Bunge la Tanzania likiendelea na mikutano yake Kizito Noya, Dodoma na Boniface Meena Dar WAZIRI Mkuu mstaafu, John Malecela amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa Spika wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
New African » July 2010 An election year anywhere in the world is usually a year when the government is compassionate to the electorate. With various players wanting to grab power and rule...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natanguliza salaam kwa wana JF wote, Kuna jambo limekuwa linanitatiza labda wenzangu mnaweza kunisaidia kupata ufafanuzi. Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu jumla ya pesa ambazo serikali imepanga...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Watanzania uchaguzi umewadia ila nashindwa kuuliza kama tumejitayarisha kwani hata mwenyewe bado nina maswali. Uchaguzi huu naufananisha na ile nyimbo inayoitwa “Tomorrow people” ni kama muimbaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Seif: Nitatimiza Ndoto Ya Karume Salim Said KATIBU mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad ametangaza vipaumbele 10 katika uongozi wake iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Zanzibar, akisema kuwa anakusudia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Soma hapa Are Our Inflation Numbers Fabricated? Hii sasa imekuwa coconut country! Tartoo
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mkapa aliita awamu yake ya uwazi na ukweli lakini wote tunajua hakuwa muwazi wala mkweli. Pia alijiita Mr Clean lakini ukweli hakuwa na usafi wowote kwa kuhusika kwa karibu na kashfa nyingi ambazo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Ni mzee wa miaka 88 sasa, lakini anakumbukumbu nzuri ya alichokiona Tanzania miaka kama nane baada ya uhuru wa Tanzania.... Hii ni mara yake ya tatu sasa kuja kuishi Nchini na mara zote huwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari yenu wadau a.k.a great thinkers wa JF, naomba tujadili kauli za kikwete alizozitoa jana wakati anarudisha form zake za kuomba awamu nyingine tena ya miaka 5. nilisikiliza kwa umakini mkubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari toka kwa ka'nzi' ni kuwa mshiko wa nguvu umekuwa ukitembezwa kwa muda sasa kuwalainisha watendaji mbalimbali serikali na Bungeni ili kuhakikisha kuwa mabadiliko ya haraka hayatokei...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Jamani naomba mnisaidie kuhusu hili "JE, HAPA TANZANIA TUNA SERA YA MOTISHA KWA WAFANYAKAZI???"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom