Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wapendwa wan JF wenzangu, nimesoma gazeti moja la nyumbani TZ nikachanganyikiwa, kwanza kusikia makamu wa rais mzee wetu Dr Shein anakwenda kugombea urais zanzibar. Hilo pia nikaishia kukubali...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Pakistan to fire MPs with fake degrees Pakistan's top court has given a landmark ruling, ordering authorities to fire those MPs who have qualified their election victory by holding fake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
juzi nilipanda gari moja na ndani yake kulikuwa na mjadala mkali sana kuhusu namna watz wasivyoridhika na utendaji wa serikali..... ulikuwa ni mjadala wa kuvuta sana tafakari kwani kulitolewa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia siku zote mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu hii kwa namna au njia mbalimbali iwe kwa kupitia vyomba vya habari au kwa kushuhudia mwenyewe, tuko wengi na mambo ni mengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAKUU KWANZA POLENI NA MIHANGAIKO YA KILA SIKU YA MAISHA. KATIKA PITAPITA ZANGU NIMEONA KUWA MH ABOOU AMBAYE NI NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRICA MASHARIKI AMEPATA MASTERS YA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbona kimwa mkuu? au mnajipanga kumshtaki Msajili wa vyama? Au mpo mezani mnashughulikia ushauri wa Mzee Mtei? Sisi wapenda mabadiliko/mapinduzi ya kweli tunawasikilizia, Taafaadhali isije kuwa...
0 Reactions
80 Replies
7K Views
Mustakabari wa Nchi yetu unachukua mwelekeo ambao si tu unatishia kuipeleka nchi katika mikono ya watu wachache lakini pia tuko katika ukingo au huenda tayari tuna kuwa remote controlled na watu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
CCM sawa na gari bovu, halitufikishi mbali Dawa ni kurekebisha injini na kubadilisha dereva MNAMO Novemba 2002, waziri wa zamani na mbunge wa miaka mingi, Jackson Makwetta, wakati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete na 'Don Kings' wetu! Johnson Mbwambo Juni 23, 2010 AGOSTI 2008 niliwahi kuandika kuhusu suala la Rais Kikwete kujiruhusu kuzungukwa Ikulu na court jesters; yaani wale walamba...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwandishi Wetu Raia Mwema Juni 23, 2010 Nia ni kufuta ndoto ya Wazanzibar kutawala Bara Hakuwa chaguo la wanamtandao mwaka 2005 Lowassa, Mwandosya, Membe, Masha watajwa kuwania HATUA...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Kama Watu tunao, Ardhi tunayo, Siasa safi tunayo, na Uongozi bora tunao, kwanini hatuendelei? Wadau kama mnakumbuka vizuri, enzi za Mwalimu tuliambiwa kuwa, ili tuendelee, tunahitaji vitu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kitendo cha Vuvuzela zinazopulizwa na kutoa mlio kama wa nyuki kushindwa kuisadia Bafanabafana kushinda mechi zake kwenye michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea Afrika ya Kusini, kumethibitisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini TAKUKURU inafanya uchunguzi juu ya tuhuma za Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mbunge wa jimbo wa Isimani mkoani Iringa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
RAIS Jakaya Kikwete wiki hii amefanya uteuzi wa mabalozi kwenye key stations ambazo kuna diplomats wa Tanzania abroad. Mimi ninavyoona, this was a missed opportunity kwa Rais kufanya maamuzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rwanda arrests football head on way to World Cup Brig-Gen Jean Bosco Kazura (Photo from Ferwafa - ferwafa.rw/fed) Jean Bosco Kazura served in Sudan's Darfur region The head of Rwanda's...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Maoni ya Mhariri wa RAIA MWEMA Igeni ya Lukuvi kumaliza ufisadi Juni 23, 2010...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mjumbe wa Kamati Maalum, Mariam Ukiwaona Ditopile Mzuzuri ( kushoto)akiikagua kadi ya CCM ya Mwanachama , Mzee Athuman Mohamed Dume ( kulia) wa CCM Tawi la Fulwe, Kata ya Mikese, Wilaya ya...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Huu kama mwaka wa uchaguzi ningependa kupata maoni yako juu ya kitu kimoja ambacho ungependa serikali ya awamu ya tano ikipe kipaumbele. Jaribu kuwaza kama umepata nafasi ya kukaa na Wagombea...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wednesday, 23 June 2010 By The Citizen Reporter President Jakaya Kikwete has made new ambassadorial appointments with senior Foreign Affairs and International Co-operation ministry official...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom