HATUA ya Makamu wa Rais, Dk. Dk Ali Mohamed Shein kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais wa Zanzibar, imeelezwa kusukumwa na wagombea Urais wa Jamhuri walioko Bara, Raia Mwema...
Tatizo la baadhi ya viongozi wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) kudanganya umri wao Limeendelea kutafuna Umoja huo.
Katika tukio la karibuni ,mjumbe wa NEC kupitia UVCCM Edwin Sanda...
katika harakati za viongozi wa CCM wilaya Lushoto kumnadi Bwana Januari Makamba na kuwashawishi wananchi kumchagua, kampeni za kabla ya wakati zinaendelea ikiwa ni pamoja na vipepelushi vyenye...
...Wapenzi kadhaa wa Dk Bilal.... walisema kwamba wanatarajia mara hii jina la Dk Bilal litarudishwa kwa sababu alikuwa muungwana mwaka 2000 Kamati Kuu ya CCM ilipompitisha Amani Karume kuwa...
Sawa nimeshauriwa kama nataka kumjadili Mbowe nifungue thread mpya, sasa hii kwa kuangalia hii NGO [au niseme SACCOS ya exclusive members?] CHADEMA nimegundua mgombea urais MBOWE ni bomu heri hata...
kweli nguvu ya mafisadi imeonekana jimbo Same mashariki, na ukiona Mama Ana kilango analalamika kiasi kile bungeni basi AMINI ni masikitiko kutoka moyoni kwake....hali yake jimboni ni mbaya sana...
Muda mfupi uliopita wanamuziki maarufu ndani na nje ya nchi Mr Sugu pamoja na Mkoloni wamejiunga rasmi na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).
Wanamuziki hawa walikuwa wametangaza...
Kwa kutambua umhimu wa elimu katika maendeleo ya binadamu, na kwa kutambua umhimu wa makuzi na ujenzi wa tabia ya mtu katika umri mdogo. Ningepata nafasi ya kuwa rais wa Tanzania kwa miaka 5 ijayo...
Salamu wana JF
jamani naombeni msaada wenu wa haraka sana.
nahitaji kujua idadi ya journalists waliopo katika nchi ya Tanzania
Tafadhali kwa mwenye kujua anisaidie
Asante sana:smiling:
Hili lilikuwa swali la MMKJJ kwa CHADEMA November 2009!!
Naona MMKJJ mahesabu yake hayakuwa sawa!! kama anatumia kigezo cha KUFANYA NINI, Namuuliza, CCJ imefanya nini mpaka tuipe dhaman aya...
By: M. M. Mwanakijiji
What we are witnessing right before our very eyes as we head toward the General Elections 2010 is a clear assault on Democracy in Tanzania propagated and carried with...
Imeandikwa na Sadick Mtulya
VYOMBO vya dola nchini vinahaha jinsi ya kuua makundi ndani ya CCM ili kumtengenezea mazingira mazuri yatakayomuwezesha Rais Jakaya Kikwete kuongoza nchi bila ya...
*Akerwa pesa kutumika kununua umaarufu
Friday, 25 June 2010
Na Kitiko Mpacha, Tanga
Majira
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamua kura...
WanaJF
Katika kuelekea uchaguzi october 2010 JK ameanza kujinadi kuwa atawashughulikia mafisadi na kusafisha chama(hii ni danganya toto)
Hizi ndo zilikuwa siasa zake mwaka 2005 mpaka sasa...
Natumia inverted commas nikiwa na maana ya doubt kwamba tulichonacho hapa Afrika haistaili kuitwa demokrasia". Hivi hii demokrasia bandia ni nani aliyeileta Africa?
CCM karibuni walikuwa wana...
Mh. Shamsi Vuai Nahodha Kasema akichaguliwa atwajanza Wazanzibari Mapesa.....Isije kuwa kama Mwenyekiti wa chama UDP alivyotaka kutujaza mapesa ila hukchaguliwa. Je Kama Vuai akichaguliwa ataweza...
Nimesikitishwa sana kwa kupata ujumbe wa kutoa ni moyo! Changia CCM kuanzia 300, 500 na 1000. Nimehuzunishwa kwani mimi si mwanachama wa CCM na wala sina ubia na chama hiki kilichojaa unyonyaji...
Jamani je ni lini tutasikiwa ubalozi wa TZ unatoa masikitiko kwenye magazeti kama dada yetu kakatwa na mapanga na ubalozi unanyamaza kama hakuna lolote lililo tokea.
Je ubalozi una kazi gani...
JK: Ningeboronga CCM ingenitimua
Atamba anajivunia rekodi yake ya miaka mitano
RAIS Jakaya Kikwete amesema anaamini iwapo angekuwa ameshindwa kutekeleza kikamilifu Ilani ya Uchaguzi ya Chama...
By Mkinga Mkinga
THE CITIZEN
Chief Justice Augustino Ramadhan and High Court Judge Mariam Shangali follows 2010/11 budget estimates presentation for the ministry of Justice and Constitutional...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.