Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
We differ in our views when it comes to the politics of our country but, we're going to elect new leaders on all levels of the gov. What do you think we should consider in this coming election...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
CHAMA Cha Jamii (CCJ), jana kilishindwa kuwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, maombi ya usajili wa kudumu na kitendo hicho sasa kitafanyika mapema wiki ijayo. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Whose Slave Plantation is it Anyway? A Critical Reading of Wole Soyinka’s Distinguished Nyerere Lecture on ‘New Imperialisms’ “My observation – which I fully expect will be strongly...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Tulimshuhudia Kikwete akiwakaripia wafanyakazi (TUCTA) pamoja na vitisho vingi dhidi yao na kuhitimisha kwamba hazihitaji kura zao (kama vile tayari ameshachaguliwa kuwa mgombea wa urais na chama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni muda mrefu sasa uwakilishi wa wananchi hasa bungeni hauna mwongozo (uregulated). Raia mmoja anaweza kuwa mbunge kwa zaidi ya miongo minne. Ni ukweli usiopingika kuwa mwakilishi wa wananchi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa UVCCM, Hamad Masauni Yussuf, anadaiwa kughushi cheti cha kuzaliwa kwa lengo la kudanganya umri ili aweze kupata nafasi ya uongozi. Anamiliki cheti cha kuzaliwa bandia chenye namba...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
WAHISANI wamepunguza mchango wao kwenye bajeti ya serikali kwa mwaka 2010/2011 kwa sababu mbalimbali, ikiwamo kasi ndogo ya serikali katika kutekeleza mageuzi katika sekta za umma. Taarifa ya...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema utekelezaji wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi hasa katika kipengele kinachokataza takrima, ni mgumu. Rais Kikwete alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na viongozi wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku cheti maalumu Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha kwa ufanisi mkubwa kufanyika kwa mkutano wa World Economic...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yadaiwa ni mkono wa mtu Aliugua gonjwa la ajabu Alikataa kubadili nia hiyo Jiji la Mwanza lazizima Mwanamke aliyekuwa ametangaza nia ya kuomba uteuzi wa kugombea ubunge katika jimbo la...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika mji wa Moshi yametajwa majina ya madiwani 12 wa CCM ambao wamengoza kwa kutoa, kutetea na kunyamazia hoja zinazodhoofisha maendeleo ya Moshi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama kipya chenye usajili wa muda cha CCJ ambacho ni mbadala wakiitikadi, mwelekeo, mfumo na uongozi wa CCM kitafanya mkutano na waandishi wa habari Alhamisi Mei 13, 2010 majira ya saa saba...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Wakati akiwahutubia wazee wa ccm wa mkoa wa dar es salaam kuhusu mgogoro kati ya serikali na tucta ni dhairi kabisa mhe. Rias alionekana ni mtu mwenye jabza, asiyejua utawala bora na aliyolewa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kumekuwa na mjadala mpana kuhusu Dk. Wilbrod Slaa, Mbunge wa Karatu na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kugombea Urais mwaka huu ili apambane na Kikwete wa CCM. Kwa maoni yangu, Slaa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Zote hizi ni kwa mwezi: [24 x 2,422,000 = 21 x 2,046,000 = 27 x 2,080,000 = 1 x 4,850,000 = 1 x 4,850,000 = 323 x 1,921,000 = 127 x 1,921,000 =] [12] The process is also known as "the order...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Nyerere aliwahi kusema hivi "mtu akiwa anajua kuwa una akili timamu, akakwambia kitu cha kipumbavu na akajua unajua ni cha kipumbavu na ukakubari, atakudharau" Leo hii tunapojiandaa na uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MIONGOZO iliyotolewa na madhehebu ya dini za Kiislamu na Kikristo nchini kuhusu uchaguzi mkuu, haina matatizo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Philip Marmo amesema. Pia amesema Rais...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi naona jeikei haitaji kura za wafanyakazi.............. HAZINA MAANA SANA KWAKE,kwasababu wafanyakazi wenyewe ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wengi wenye njaa zao...... sasa kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wananchi na wana jamii wenzagu Kiu -halisia mshahara wa kima cha chini cha zaidi ya US dola 300 kwa wafanyakazi wa Tanzania hautekelezeki. Haiwezekani na haiwezekani, mfanyakazi anayedai huo...
0 Reactions
294 Replies
28K Views
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimebadili utaratibu wa kuwapata wagombea ubunge na udiwani kwa kuruhusu wanachama wao wote kupiga kura za maoni, uongozi wa chama hicho wilayani Sengerema, mkoani...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom