Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu, Inatia moyo kuona kuwa hatimaye Serikali imeafiki wazo la kuwafundisha Wanafunzi wetu kwa Njia ya Televisheni. Baadhi yetu tuliandika wazo hili kwa kirefu miaka mitano iliyopita na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutokana na Utafiti uliofanyika humu ndani ya JF ya kutafuta wanasiasa maarufu na watu kadhaa kwa hiyari yao kupiga kura..Kumi bora zimepatikana na CHADEMA kuwa kinara.. Kati ya kumi bora,watatu...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakubwa, Mimi ni mtanzania ninayependa maendeleo ya nchi yangu na mtazamo chanya wa mambo. Naomba nitumie post hii kutoa wito kwenu mtakaobahatika kusoma post hii kushauri ni nini hasa uongozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MANDATORY LISTING: Was DSE chair forced out over letter to JK? By Samuel Kamndaya and Hassan Mghenyi The chairperson of the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) governing council, Mr Peter...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
wADAU habari nilizozipata kutoka geita katika jimbo la busanda polisi wamemkamata mwenyekiti wa kata ya lwamgasa - CHADEMA kwa madai ambayo hayajaeleweka,baada ya mwenyekiti huyo kuandaa mkutano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niwakati umefika kuwa watu wakufikiri na kupima maneno ya kiabunuwazi yanayotolewa na viongozi wetu. Nikweli mwanamke ni injini ya muhimu sana ktk uchumi wetu ila ikiwa sera zakuwawezesha zitakuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwaka 1995, CHADEMA iliungana na NCCR-MAGEUZI Mwaka 2000,CHADEMA iliungana CUF na mara zote hizi ilikuwa katika chaguzi kuu za taifa ! Kitu kimoja ambacho nina wasiwasi ni kwamba >: (1)Kama...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Mbowe adai Kikwete amehalalisha rushwa Monday, 17 May 2010 06:18 Ni kwa kutetea takrima katika uchaguzi Pia kwa CCM kupanga kutumia bilioni 50/- Na Tumaini Makene KAULI ya Rais Jakaya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Polisi Wanapopotosha Kazi ya Polisi: SANI, Apr 14-16, 2010.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kauli ya CCM Kuhusu Kuanzishwa kwa Chama Kipya cha Upinzani – CCJ Hivi karibuni vyombo vya habari vimekuwa vinaandika sana habari za kuanzishwa kwa Chama kipya cha upinzani kiitwacho Chama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
:eyeroll2: Kwa hili pinduzi la kwanza, aidha kuking'oa madarakani chama tawala CCM, ambacho kimehakikisha kushindwa kazi, au kufanyike mapinduzi makubwa ndani ya chama hiki ili kiweze kukidhi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zisikilize kwa makini ahadi hizi ambazo ni sehemu ya ilani ya sisiemu, kisha tuchambue kama wametekeleza kwa usahihi kile walichoahidi ama la. Audio hizi ni sehemu ya CD nzima ya nyimbo za kampeni...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Hivi kweli Gordon Brown kachemsha zaidi kuliko JK hadi kufikia hatua ya kufanya uchaguzi? Nadhani inabidi watanzania tujifunze kutoka kwa wenzetu badala ya kuwa na desturi ya kusubiri hadi miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakiondoa sababu nyingine zozote vi "nzi" vinaripoti kwa uhakika mkubwa kuwa Msajili wa Vyama vya siasa nchini Bw. John Tendwa na Waziri anayeshughulikia mambo ya siasa Bunge Bw. Phillip Marmo...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Tanzania inflation rate rises to 9.4 pct in April DAR ES SALAAM, May 17 (Reuters) - Tanzania's inflation rate rose in April for the first time since October last year as food and fuel price...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
0 Reactions
15 Replies
2K Views
It's been quite a while since our Dear leader Jakaya Mrisho Kikwete last visited the United Kingdom.As a seasoned world traveller,and in the spirit of the Anglo-Tanzania friendship,I suspect JK...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifikiria jinsi mambo yanavyobadilika tukifika kwenye mwaka wa uchaguzi na hasa nikafikiria je ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanafaidika na kampeni au ndo wanaandaliwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikuwa napitia hii budget ya UK ya mwaka 2007/08. Kwa kweli kwa mwendo huu kujiona mapanzi ni sawa kabisa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom