Hivi jamani hebu tuongee ukweli yaani kutangazwa kote kule harambee ya kuchangia CCM Kilimanjaro kumepatikana millioni 200 tu? Hivi kunani huko Kilimanjaro? au ndo mwendo wa kususa maana najua...
Kuna mjadala unaendelea wa kutafuta namna ya kumuenzi mzee Kawawa kwa kuliweka jina lake katika taasisi moja au zaidi ili kuakisi mchango wake katika historia ya ujenzi wa taifa letu. Hii...
Wana JF nimekuwa nikufuatilia kwa makini hutuba nyingi za hivi karibuni za mhe Raisi katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya serikali. 1.Mradi wa maji kanda ya ziwa 2. Daraja la umoja na jana...
Rais anapoteuwa baraza la mawaziri huwa kuna considerations nyingi anafikiria, kama vile sifa za mteuliwa na pia hujaribu ku-strike a balance kwenye cabinet kwenye misingi ya ukabila, dini, maeneo...
I was excited when i heard that a bridge was going to be built. Well, It's CCM so I guess i should have known better. I mean really, some of this stuff is just common sense.
Is Unity Bridge a...
Rais Kikwete.
Wafadhili wameamua kupunguza fungu lao la pesa linalokuja kwenye bajeti yetu. Wameteoa masharti na vitisho ambavyo vyaonekeana wazi kuwa wanachotaka kutoka kwa Tanzania pamoja na...
Hivi huyu Rais wetu, JK, alikuwa anatumia initials JK? Hivi ni sahihi kweli kwani jina lake kamili ni Jakaya Mrisho Kikwete na inatakiwa kuwa JM Kikwete. Au labda aliona zikifanana na hayati...
I've bee thinking about this for a while and I really had to do some soul searching before I made this decision. I was skeptical about admitting this to myself let alone to other people. I have...
Send to a friend Wednesday, 12 May 2010 05:39 0diggsdigg
Ramadhan Semtawa
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe amesema kamati yake imeanza mchakato wa...
Na Mwandishi wetu, Mwanza
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Isamilo wilayani
Nyamagana mkoani Mwanza, Bahati Stepahano (50) amefariki dunia baada
ya kuvamiwa ofisini kwake na kuchomwa...
"Tumeendelea kuboresha Sheria ya Gharama za Uchaguzi, lakini, lile la takrima ni gumu. Mfano katika mkoa wa Kilimanjaro huwezi kuwaita wazee ukazungumza nao bila kitochi," alisema Kikwete...
Limeibuka wimbi la mauaji ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mazingira yanayoacha shaka kwamba huenda kuna mikono ya kisiasa katika vitendo hivyo.
Wakati wakazi wa Jiji la Mwanza wapo...
"....................Takrima iliasisiwa na serikali ya Mkapa. Baadhi ya wenzetu wakadhani JK aliye chaguo la Mungu hataweza kuivumilia; ataifuta. Mahakama Kuu ilipoifuta, mashabiki wake...
ASEMA WAKATI WAKE RUSHWA HAIKUWEPO
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, mzee Ali Hassani Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa ameshangaa kukithiri kwa rushwa katika utawala wa awamu ya nne ikilinganishwa...
Hatutaki Tena Hekaya za Alinacha
Mwezi wa kumi (10) Watanzania wenye umri usiopungua miaka kumi na nane (18) watapiga kura kuchaguwa Rais na wabunge kupitia vyama vyao wanavyo viamini kuwa...
Mauaji ya kinyama sasa yaandama makada CCM
Na Waandishi wetu, NIPASHE
Limeibuka wimbi la mauaji ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mazingira yanayoacha shaka kwamba huenda kuna...
Awali ya yote naomba nitumie nafasi hii kuwasalimu nyote Wanajamii Forum na Kuunga Mkono Mtazamo,itikani, Imani, na Hoja mbali mbali mnazozitoa kuhusiana na Mwelekeo wa Uchaguzi wa Tanzania...
Na Elizabeth Suleyman
MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag) Macmilan Lyimo
MCHUNGAJI wa Kanisa la Tanzania Assembles of God (Tag), lililoko eneo la Mabibo jijini Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.