USHAJIULIZA KWANN AMBAO HAWAKUPIGA KURA WANAPIGA KESHO SAAA TATU WAKAT TARATIBUZAO ZINASEM MTU ATAWEZ KUTUM KURA HAT KWA FAX ??? hawa qalikuw wap had wapige kura keaho hapa naona kuna minada...
Wanefunga matangazo hakuna update inaonyesha wamejaa hasira ,sijui walijiandaaje kuipokea final result ya uchafu wao?
Mbona kimya kuna watu migogo ya CCM humu Jamiiforums imetoweka ghafla, hebu...
Siku za karibuni hapa nimepata mchanganyiko sana juu ya mchakato wa katiba mpya unaoendelea Dodoma. Nimeona kuwa jambo linalochukua muda mwingi wa viongozi wengi wa chama na serikali kuzungumzia...
Wanajamvi muda mfupi ulopita makamu mwenyekiti wa BMK amemkaribisha Paul makonda aongee eti kukanusha upotoshaji kwenye mitandao na kuitaja jamii forums katika maelezo yake amedai kuna thread...
Zipo taarifa kuwa jana jioni ujumbe kutoka Dar ulitua Dodoma na kitita cha nguvu kuwashawishi waliopiga kura za HAPANA kubatilisha kura zao. Taarifa zinasema wajumbe wawili walikubali kuchukua sh...
Yaani hawa waliopiga hapana unaweza kusema wamewaokoa sio WaZenji tu bali na WaTanganyika pia kwa ufupi Wamewaokoa WaTanzania wote.
Wamewapiga STOP madikteta on the make ,koroma haliwi nazi japo...
Karibuni sana wana ukawa bila kukawia tuangalie sana TV pendwa ya taifa letu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, japo mnajifanya hamuipendi lakini mkiwa majumbani mwenu mnaingalia na kufuatilia...
SHURA ya Maimamu Tanzania imetangaza hatua za kuikwamisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kwa kwenda kuwaeleza waumini wa dini ya Kiislamu kupiga kura ya hapana.
Hatua hiyo imekuja baada ya...
Nianze kumpa pongezi mh.Zitto Kabwe kuungana na wananchi wengine kupinga kitendo cha Ccm kutumia mabavu kuandika katiba wanayoitaka wao.
Maria Sarungi nimekosa neno la kumwambia na sijui mwanamke...
Humphrey Polepole yupo live Channel Ten akiichambua Rasimu ya BMK
1.Asema Mgombea Uhuru imewekewa masharti mengi ni sawa na hakuna.
2.Rais Kapewa Madaraka Mengi.
3.Wakuu wa Mikoa wamerudishwa na...
Ni hamsini kwa hamsini mpaka sasa, ama Mahakama ya Kadhi na Uraia Pacha vitambulike kwenye Katiba au la. Ni ibara a 32 inayohusu Uhuru wa Imani ya dini na ibara ya 59 inayohusu Hadhi ya Watu...
Wapendwa bunge limeahirishwa yapata saa 6 mchana na litarejea saa 9 alasiri
kwa wasomaji wa biblia ndo muda Yesu aliosulubiwa na kukata roho hii inatupa tafsiri gani kwa Mzee Sita na bunge la...
Sio siri kwa Mungu mbali.
Imenishangaza sana kuona hata viongozi wa dini,ambao tunawategemea sana katika kutuongoza katika maisha yetu ya kiroho kuwa vipofu kiasi hiki.
Hivi ni kweli hawaoni...
Jana, waziri mkuu, Mizengo Kayanza Pinda ametoa ahadi kwamba mahakama ya kadhi, eti itatungiwa sheria pekee bunge la Januari. Tamuko hili lililenga kushawishi kura za waislamu waone kwamba katiba...
Nimeangalia asubuhi nimepata mshtuko hivi ninjia gani inatumika kuhesabu wajumbe ni vijana wabunge kupita nakuhesabu kimya kimya au kuwaita majina ili kutambua uwepo wakila mmoja kiuhalisia
Katika upigaji wa kura kuhusu katiba unaoendelea pale bungeni wabunge wengi wanasimama na kusema kwa niaba ya wanawake, vijana, wafugaji & wakulima napiga kura ya wazi ya NDIYO, hivi wale wabunge...
Haya kweli ni maajabu ya MUNGU,wakati wanatunga kanuni walidhani kura ya wazi ingewabeba lakini sasa imekuwa tofauti, imegeuka mwiba kwa CCM hamna ujanja wa kuchakachua
Nimeangalia upigaji wa kura katika BMK kusema kweli kwa Tanzania Bara upigaji kura unatabirika. Yaani ni "formality" tu. Kwa upande wa Zanzibar angalau matokeo hayatabiriki na mtu unakuwa na...
Kwa hakika majina ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba walioamua kuungana na Watanzania mamilioni kusema HAPANA kwa Rasimu ya Sitta na wenzake waso haya, yataandikwa kwa rakili za chuma kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.