KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Nimesikia eti wanahamasisha :peep: Wananchi walio na uelewa eti waandamane huku Viongozi wao wakiwa unakula raha KILIMANJARO / Serena hotel. Kupinga vikao vya Bunge vinavyoendelea DODOMA huku...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Watanzania wengi waliokuwa na matuini ya kupatikana kwa katiba mpya, wakiwategemea UKAWA kama wapiganaji wao naomba niwaambie tu adui kashinda. Kashinda vita kirahisi sana. Makamanda wenu wamepewa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema ni vyema Bunge Maalumu la Katiba likasitishwa kwani Katiba bora haiwezi kupatikana kwa muda wa wiki mbili. Kauli...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Akitoa mchango wake kwenye Bunge Maalum la Katiba, Mwenyekiti wa TCD na UDP John Momose Cheyo anasema kuwa mchakato wa bunge unaendelea vema. Alisema kuwa wakati walipozungumza na Rais Kikwete...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa kuanza naomba kuwapa pole woote wenye majukumu ya hapa na pale na Mungu wetu si mchioyo wa fadhira anaendelea kutujaaria uzima na afya njema. Naomba kwa wajumbe wa Jamii forum kufahamu mawazo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sitta amedai kuwa baadhi ya viongozi wa ukawa wamesema wamtampeleka mahakama ya kimataifa, Akizungumza leo hii baada ya utambulisho wa wageni bungeni akawafananisha viongozi wa ukawa na waigizaji...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nasikitika sana kwa wale wanaopokea hela ya posho inayotolewa hapo BMK kwa siku .kama hela hiyo ni halali yao kupewa ,ukizingatia kilichowapeleka hapo sicho kinachofanywa ,tumesikia malalamiko...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Habari ya Asubuhi Watanganyika na Wazanzibar wenzangu.Leo nitazungumzia na kuhoji uhalali wa serikali kuifunga tovuti ya tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kama ilivyo kwisha kufunguliwa na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TEC YAWASHANGAA UKAWA Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Severine Niwemugizi, alisema Ukawa walikuwa na kikao cha maridhiano na Rais Kikwete...
0 Reactions
2 Replies
905 Views
kilevi ndani ya juici ya ikulu.ni heading ya gazeti moja la leo kwa hawa wanaojiita UKAWA.kwan juz tu walikutana na mkuu wa kaya kujadili hatima ya katiba ya wenyenchi na kukubaliana kuwa katiba...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Mahakama ya Kadhi:- Waislamu walio wengi hawaoni sababu ya kupinga kuwepo kwa Mahakama hii ambayo itawahukumu waislamu na wale watakao penda kupeleka matatizo katika Mahakama hizo. Nchi ya...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ndiyo ikiwa sharti la kuwa Mbunge kiwango cha elimu ni kidato cha nne ni SABOTAGE kwa sababu mazingira yetu ya leo serikali imeharibu mfumo wa elimu nchini ili kuwaweka vizuri watoto wa vigogo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama yalivyo leo, Bungeni Dodoma, Suala la kuweka kipengele katika katiba mpya ambacho kitasema kua, Masuala ya Mirathi, Ndoa na Talaka kwa Upande wa Waislamu vishughulikiwe na Dini husika...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
wazo la wananchi kwenda Dodoma na makufuri yetu kufunga ukumbi wetu wa Bunge ili kuwazuia hawa kupe kuendelea kutonyonya kwa kuendelea kujadili katiba
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi naona kuna kila dalili ya nchi kuingia katika machafuko au mkwamo(deadlock) kutokana na swala la katiba pamoja na uchaguzi mkuu wa mwakani. Ili kuepuka hali hii,je haiwezekani mara baada ya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutokana na taifa kuwa ktk mchakato wa katiba mpya na msuguano wa kisheria . Tunaomba kwa manufaa ya taifa tuone maongezi kati ya raisi na TCD ili kuondoa sintofahamu ya makubaliano. Je, tamko...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Nilikuwa na wasiwasi na mtu makini kuweka ubia na cheyo! Ni kosa kubwa mlilolifanya UKAWA! Kuna watu ambao ni vibaraka
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Akiahirisha bunge kipindi hiki cha Asubuhi hii Mh Sita amewataka wajumbe wote watakaokwenda hijja kuwasilisha vielelezo vyote muhimu kwani hata wakiwa huko watapigia kura katiba itakayopendekezwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Asalaam aleykum wana nzengo! Niliwahi kumsikia mwenyekiti wa jukwaa la katiba Deus Kibamba akisisitiza kuwa joto la uchaguzi limepanda hivyo mchakato wa katiba usimamishwe kupisha uchaguzi wa...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Akihojiwa na DW Radio,Katibu wa BLK amesema kuwa hajui chochote kilichojadiliwa na kukubaliwa katika mkutano baina ya Rais Kikwete na TCD. Amesema kuwa BLK litaendelea kama kawaida kwa mujibu wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom