Kwa wafanyabiashara wa simu na Maduka makubwa walio interested kutangaziwa biashara zao na mimi, kwa makubaliano tunaweza kuwasiliana na kujuzana zaidi juu ya hi deal.. KUMBUKA BIASHARA NI MATANGAZO
Niliweka tangazo langu hapa lakinh gari nyingi nina zoletewa sijakubaliana nazo. Hivo naongeza dau mil 5 nipe sport car like celica, Nakuendelea lakin napendelea sana gari manual. Tuma picha...
lipo kibaha kwa mfipa km 3 kutoka barabara ya kwenda morogoro ukipanda bodaboda kutoka stend kwa mfipa mpaka shambani nauli ni 1,500/= tu kumbuka bei ni 2m haipungui na siitaj dalali nichek kwa...
habarini wanajamvi, Nina Mahindi yangu nililima Morogoro na mengine nimeongezea hukuhuku kwa wakulima hivyo nimefikisha gunia 500,naomba kujua bei yake Kariakoo au mwenye shauri niuze wapi...
Hizi ni apartment ambazo zinajengwa Msasani, kwa kuangalia ramani ya nyumba iliyobandikwa kwenye tovuti yao inaonyesha kuwa ni bedroom moja tu yenye shower, vyumba viwili vina choo tu na kuna choo...
Mm ni artist wa kizaz kipya {bongo fleva} ninae wakilisha Mkoa wa Rukwa.
Mkoa wetu bado hauna star nina nyimbo 21 kali na za maana na sokoni ziko 16 na video 3. Sijafanya promo popote zaidi ya...
Mimi ni kijana niliejiriwa. Tena ni mjasiriamali. Mwezi Wa kwanza nilianza process za kulima Kabechi hadi kufika Sasa zimekomaa shambani sina mnunuzi. Nina eneo la ekari moja hapa Mbeya eneo la...
Dell 5040 Ram ni 4 gb Hard disk ni 500 dvd writer, Wireless, screen 15.6 inch web calm Price ni 510000 Processor ni 2.1Ghz, 2.1Ghz Dual core ... Nicheki kwa 0764361843
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.