Hello JF we are in the process of disposing ICT Equipments na sasa tuko na VSAT Dish la specs zifuatazo
2.4 m prodelin
Norsat 3.4 4.2 Ghz LNB
3W BUC
kama uko interested wasiliana nami kwa...
Nyumba Pamoja na Kiwanja vinauzwa kwa Pamoja viko Eneo la Majohe na Hati za Eneo ilo zipo Picha ndizo hizo na Ukita ukipenda ufafanuzi zaidi wasiliana na Mwenye Namba hii kwa maelezo zaidi na...
inasupport whatsapp,viber na nyinginezo simu ipo vizuri xanaa nicheki 0688 206680 npo dar
NB: picha imeshindikana kidogo kutokana na matatizo ya kimtandao eneo nilipo
Habari gani wakuu? Natumaini mnaendelea vyema. Vifuatavyo ni vyumba na nyumba vinavyopangishwa Kigamboni. Viko sehemu nzuri, hakujai maji, ni km 3 mpaka 4 kutoka ferry, maji na umeme vipo:
chumba...
SDT international group kutoka Sweden inawaletea bidhaa za aina mbalimbali ikiwemo protective wear kuanzia boot za kisasa,trousers,strong gloves na kofia.Tunauza kwa jumla na zina waranti ya miaka...
Kinaitajika chumba na sebule bajeti 100,000/ kwa mwezi choo si lazima kiwe ndani hata cha nje. Nipo tayari kulipa kodi mwaka mzima. Aliyetayari ani pm.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
shamba liko Bagamoyo.unaingilia shule ya baobab.kama km2 toka barabarani
ni heka 8
:linakisima kilichochimbwa na machine kwajili ya umwagiliaji
:mabanda yaufugaji
:nyumba ya mlinzi n.k
bei...
Wakuu nataka kufanya biashara ya kuuza ngozi ya ng'ombe nchi China .naomba mnifahamisha njinsi ya kupata ngozi na njinsi ya kuichangua ngozi iliyo high qualinty .wapi kwa kuinunua ngozi ?bei...
BUY BRAND NEW PHONES, LAPTOPS, Garmin Gpsmap,DIGITAL CAMERAS AT AFFORDABLE PRICES HERE
XTRA EDGE LTD ® is an Approved dealer, specialized in the distributors of Mobile phones, Garmin...
Habari,
Yawezekana unatamani kujifunza kuhusiana na mbinu za utajiri na mambo yatakayobadili maisha yako. Huenda umechoshwa na suala la kuzunguka na bahasha ukitafuta kazi, unaona ni afadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.