Wadau wa jukwaa hili ninaomba kujulishwa bei ya injini/mashine ya maji baridi kuanzia horse power9.9 mpaka horse power 40 na pia maduka au agent wanao sambaza mashine hizo
Wapendwa wanajamii nimepatwa na shida ghafla ya pesa niko mkoani mwa watu, nauza simu yangu pendwa tecno M3 kwa sh, laki moja na thelathini ina miezi mitatu imetumika, nihitaji pesa kwa haraka...
Piki piki San LG inauzwa gongo la mboto, imetumika miezi 9. Bei Tsh. mil 1. .......... nimejaribu ku upload picha zake zinakataa!
kama utakuwa interested niPM tuongee biashara. na kama...
Pata Smartphone aina ya Samsung Galaxy Y kwa tsh.80,000/= tu at 0689341445.....Simu ni used ina scratches pemben ya simu tu kidogo...But simu inafanya kazi vizuri tu
Both are 2005 models
Mileage: 67000km (silver), 45000km (white)
Engine: 1300cc VVTi
Both unregistered
Price includes tranfer to your name..
Price on each: 11m (Fixed)
kwa anaye tafuta fundi bomba mzuri nenda chuo cha ufundi magereza Ruanda kuna Mwl wa bomba mzuri sana.muulizie kwa jina la Mwl Paul Macha au mpigie 0714441625 au 0755477149 ni mshauri mzuri sana.
wana jf ninanyumba yangu morogoro nimekamilisha kila kitu ila nimebaki kuweka dirisha 10 za feet 5by6 sasa kama kuna mtu anazo anitafute 0764992264 ili tufanye bishara bajeti yangu ni laki nane...
Nauza simu aina ya Samsung galaxy pocket. Bei tshs. 70000 tu.Simu ipo rooted tayari, pia imewekewa rom ya android 4.1 (jellybean) na application zingine kama whatsapp,telegram,viber, instagram...
Kama kichwa kilivo hapo juu jaman yeyote mwenye mawasiliano na hyo shule tafadhali au mwenye uelewa na hyo shule anipm nipate maelezo zaid.....shule ipo tanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.