Ninauza mafuta ya alizeti kwa shilingi 12,500/= kwa kila ujazo wa lita tano
Kwa wale wote wanaoishi Daresalaam wanaweza kunipata Mbezi Mwisho kwa namba 0753868912 na pia kwa wakazi wa mikoa ya...
Wakuu salama? mkewangu anatumia hii simu anataka nyingine mwenye smartphone ya maana tumpatie hii na kumuongeza pesa nyingine, aseme pls.
Nimeona kuuza itachukua muda.
~Weka aina ya simu...
habari wanajanvi wenzang,naitaji gari ambayo ipo juu,isiwe chini sana,pia iwe haijaguswa engine wala tatizo lolote la kiufundi,fuel consumption yake walau iwe 14km/ltr,ikiwa Toyota ntashukuru...
Tunaunda welding machines kwa bei nafuu. Tunapatikana Dar es salaam. Na kwa wale WA mkoani tunautaratibu WA kuzisafirisha mpaka hapo ulipo.
bei zetu ni 300,000/= kwa mashine ya Amps 280 na...
used lorry
aina:mercedes benz
model:1114
liko katika hali nzuri ,
linafaa kwa biashara ya kusafirisha mizigo mikoani n.k
mawasiliano
0754 311 336
0654 371 337
liko dar
Wadau ninauza vifaranga wa kienyeji hybrid kwa bei ya sh 1500 kwa kifaranga cha siku 3, sh 2000 kifaranga cha wiki 1, sh 2500 cha wiki 3.
Kwa mawasiliano piga 0658428186 au ni inbox number yako...
Viwanja vinauzwa viko mbezi makabe ukubwa mita 24x20 million 5,mita 40x20 million 9. Umeme upo,na vinafikika kwa barabara nzuri.
(Kwa taarifa zaidi piga 0718334726)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.