Habari Wana jf,
Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa dar mtaa wa external manispa ya UBUNGO naitaji kazi ya uvuvi mana ndio ninayo ipenda pia iki patikana piki piki ya mkataba au daywaka...
Habarini za jioni wadau wa JF,
Mimi nimhitimu wa chuo mwaka 2013,Nina degree ya maendeleo ya jamii,naomba kwa mwenye connection yeyote ya kazi, sichagui Wala sibagui kazi yeyote nafanya.
Asanteni
Naomba kuuliza eti nimefanya application ya police ajira sasa Kwa bahati mbaya siku ya Leo tar 27 nimecancel application then mfumo ukaniambia ni deadline je Ina madhara yoyote?
Habari ya majukumu,
Natafuta mfanyakazi wa stationery mwenye uzoefu na kazi hii.
Location: Mbeya Mjini
Mawasiliano: 0629081759
NI HARAKA, WAI TUFANYE KAZI.
Kwann kwenye hichinkipengele cha status kwenye app kiko hakijajazwa wakat kwenye website wamekijaza vizuri kuwa not shortlisted kwa oral.....ilaa hii aptude test bwana et nina 91 afu siko...
Age:18 yrs old,
Salary atakayo ni 80k kuendelea. Awezacho ni kulea mtoto, watoto, wazazi wa watoto hao au kuuza duka.
Maelezo mengine ni inbox wapendwa
Habari wapendwa mimi ni kijana wa kike nina umri wa miaka 27 elimu yangu ni kidato cha nne pia nina certificate ya entrepreneurship natafuta kazi yoyote kati ya hizi:-
[emoji1314] Stationary...
European Union (EU) Delegation Jobs 2024
Associate Communication, Monitoring and Evaluation Officer
Associate Communication, Monitoring and Evaluation Officer at MARKUP II May 2024
TERMS OF...
Tender No: TP/05/2024/NCB/W/015
Repair Of Terminal Roads And Filling Potholes On Gantry Access Road
Tanzania International Petroleum Reserves Co Ltd (TIPER) is a bulk storage facility for...
POST DRIVER CLASS II – 1 POST
EMPLOYER Mbulu District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-05-27 to 2024-06-10
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Checking the vehicle before and after...
Job Opportunity – Junior Health Information Systems (Jnr. HIS) Developer
Location: Dar es Salaam
Application deadline: June 8, 2024
Start date: July 15, 2024...
Vijana endeleeni kuomba KAZI, nawaombea Mungu wangu awape kibali wote wenye uhitaji mfanikiwe.
Pia soam: Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024
Ofisi mpya inahitaji vijana wawili, mmoja kwa ajili ya kusimamia duka la viatu (wakike) na mwingine ni kwa ajili ya mauzo ya insurance.
Ofisi ipo kinondoni vijana, Dar es salaam, mwombaji awe...
Habari jamani kuna TANGAZO la kazi chuo kikuu huria Tanzania ( OUT). Sasa kwenye tangazo wamesema barua zote ziwe addressed na anwani yao
Na tuombe kupitia ajira portal na imezoeleka ajira...
Position: Cashier
Key Requirements
• Certificate / Diploma in Accountancy from any recognized institution.
• Minimum one year of working experience in the same position.
• Good customer care...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.