Jaman mimi ni muajiriwa nafasi fulani ya juu kidogo hapa nchini. Nimeweza kupata mil 70 ambayo ni matokeo ya SAVING ya muda mrefu na hela zangu fulani nilikuwa nazidai kulipwa.
Mpango nilionao ni...
Kama kichwa Cha habari tajwa....
Sifa nlizonazo
a)Dereve wa Gari zote( kubwa na Ndogo) kama mabosi wa
Magari mpo humu nawakaribisha
b)kama wewe ni Dereve unahitaji conductor pia nipo tayari...
Habari, kwa mwenye uhitaji na afisa masoko/mauzo kwa biashara yake basi nipo hapa.
Mimi ni kijana wa miaka 24 uzoefu wangu ni sales and marketing department kwa miaka 2 japokuwa ni mhitimu wa...
Habarini ndugu zangu naitwa Laurian,
Ningependa kuomba kujua vitu mbalimbali muhimu kuhusu Ufunguaji wa Kampuni ya Usafi.
Je, naitaji kuwa na vibali kutoka wapi?
Je, Unaweza kuanza kazi ukiwa...
Salaam kwa wana JF wote, naomba mwenye kibarua aniunganishe tafadhali nina miaka 26, nina diploma ya Accounting, na degree ya Accounting and finance.
Nipo mkoa wa Arusha, hata internship nafanya...
Habari Jamii!
Ninatafuta fursa ya kazi ya intern software developer(paid). Katika ajira yangu ya awali nimefanya kazi kama IT Support specialist lakin ninataka kubase kwenye coding kwasababu...
POST ASSISTANT LECTURER (EDUCATION IN PSYCHOLOGY) – 3 POST
EMPLOYER Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA)
APPLICATION TIMELINE: 2024-05-16 2024-05-29
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND...
POST ASSISTANT LECTURER (PROCUREMENT) – 2 POST
EMPLOYER Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA)
APPLICATION TIMELINE: 2024-05-16 2024-05-29
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
I. To...
POST ASSISTANT LECTURER (ECONOMICS) – 1 POST
EMPLOYER Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA)
APPLICATION TIMELINE: 2024-05-16 2024-05-29
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To...
POST VOCATIONAL TEACHER II – REFRIGERATION AND AIR CONDITIONING (RE-ADVERTISED) – 3 POST
EMPLOYER Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)
APPLICATION TIMELINE: 2024-05-16 2024-05-29
JOB...
Pharmacist anatafutwa.
Requirements: Awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia
Location: Dar es salaam
Payment: 800,000Tsh
Contact: 0782121208
Wakuu vipi,
Niliona Tangazo la kazi kupitia careerjet, la Curator, basi nkaomba maana application Yao ilikuwa so simple.
Hii kazi inaitaji uwe na laptop na bandle, unalipwa $0.15 per each link...
Sorry wakuu wana Jamiiforums wenzangu..
Ninaomba msaada kama kutakuwa na muhusika humu mwenye mitihani ya leseni ya miaka nyuma anaweza kusaidia..nitatoa chochote kwa sababu natambua duniani...
Habari zenu wapendwa katika bwana, Napenda kufahamu zaidi kuhusu TaESA
1. Baada ya registration kukamilika ni process gani zinafanyika mpaka unachaguliwa, namanisha kunakufanya interview au amna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.