Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wakuu poleni na majukumu, Katika pita pita za mitandaoni nimeona baadhi ya nchi zikiwa na uhitaji wa wafanyakazi hivi ni nchi gani huwa wanachukua wanyakazi tz hata wale vibarua wa mashambani...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Heshima yenu wakuu. Niko Zanzibar kwa siku kadhaa sasa na nimekuja kwaajili ya kutafuta ridhiki. Naomba tips/muongozo kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata kazi/kibarua na itapendeza zaidi...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari! Sisi ni chuo tupo Arusha tunatoa kozi mbalimbali zikiwemo za utalii Katika kuhakikisha tunawafikia wanafunzi wengi tumeona ni vyema tuongeze team katika idara yetu ya marketing Kama upo...
0 Reactions
1 Replies
298 Views
Jamani ninaomba maoni yenu na mchango wenu kuhusu Udereva wa serikalini kama unalipa na kama ajira zake zinaweza kupatikana Asante
3 Reactions
27 Replies
8K Views
Jamani ivi kijana mwenye 33 hawezi ajiriwa kama Askari?
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Tuliomaliza vyuo majuzi alafu tukawa na presha ya kusubiri ajira za afya zitangazwe may mosi njooni tupeane mrejesho
1 Reactions
2 Replies
403 Views
Job Reporting To: Manager; Cybersecurity Governance & Compliance Department: Cybersecurity Location: HQ Job Summary. Responsible for the creation, maintenance and management of cybersecurity...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Relationship Manager; Commercial (1 Position(s)) Job Location : Head Office, Hq Job Purpose: Responsible for driving sales of assets and liabilities for commercial businesses; as well as...
0 Reactions
0 Replies
242 Views
FTTX Proejct Manager at TiGO May, 2024 Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Job Summary Position: Loan Officer Working Station: Dar es Salaam Company: ELM Enterprises co. ltd Main Business: Microfinance and Insurance KEY RESPONSIBILITIES: i. Marketing loans products...
0 Reactions
0 Replies
262 Views
The successful candidate can be posted to work anywhere within Tanzania Main Land This manager leads a team of Partnership Facilitators that serve the church partners by strengthening local...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Habari Naitaji sales person ( Mzoefu au mwenye uwezo wa kutafuta masoko ) Mashara : 300k ~ 400k kwa mwez kutokana na uwezo na uzoefu wako. Piga : 0678650509
2 Reactions
10 Replies
528 Views
Habari za mchana wana JF, ninatumai wazima na kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema kwa uwezo wake. Nipo hapa kutangaza nafasi za vijana wa kunisaidia kuuza juice mtaani. Ninataka wasichana...
4 Reactions
7 Replies
377 Views
Habari, Naitaji wafanyakazi 5 (wadada na wakaka) kwa ajili ya kunisaidia kupika katika bakery. Eneo: Kibaha Maili Moja Piga: 0678650509
1 Reactions
4 Replies
508 Views
Anonymous (8bdb)
Inawezekana hili ni jambo lisilosemwa ila ukweli huu hakuna mwenye nguvu ya kuupinga. Nalieleza hili kwa kuwasaidia watoto wakimaskini ambao hawana watu wakuwapigania(connection), na kuinusuru...
1 Reactions
0 Replies
376 Views
Msaada wanajamii forum, naweza pata kazi gani kambi ya wakimbizi mfano Nyarugusu au Kihondo, uko kama sina elimu ya juu kama certificate, diploma na madegree nina elimu ya form four tu Hata...
2 Reactions
3 Replies
673 Views
Company Overview Atlantic Micro Credit is a reputable leading financial institution dedicated to providing microcredit and financial services to underserved communities. Our mission is to empower...
0 Reactions
0 Replies
471 Views
EXPRESSION OF INTERESTS (EOI) Travel Agency GIZ is a federally owned enterprise operating worldwide, assisting the German Government in achieving its policy objectives in the field of...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
A Consultant Is Needed- Food Scape Study. Rikolto is implementing the EU-funded IncluCities program in Tanga City, focusing on improving business services for the agrifood sector, particularly...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Dreaming big is in our DNA. It’s who we are as a company. It’s our culture. It’s our heritage. And more than ever, it’s our future. A future where we’re always looking forward. Always serving up...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Back
Top Bottom