Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Jamani habari za muda huu? Naiomba Wizara ya Elimu watuambie basi lini watatoa ajira za walimu walizotangaza nafasi zake mwezi wa 8. Vijana tunazisubiri sana tunaomba wizara husika itufikirie...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Habari wakuu, ninauliza naomba nijue, ninahitaji pesa nichukue NSSF za akiba yangu na kazi bado ninaendelea Je, inawezekana? Kazi ni private sector.
4 Reactions
14 Replies
2K Views
The Royal Norwegian Embassy in Dar es Salaam will have a vacant position of a security assistant/driver, starting from March 2024. Security assistant/Driver Main duties and responsibilities...
2 Reactions
4 Replies
531 Views
Habar ya jioni wadau. Kindly fall through 👇👇👇👇 Anahitajika: Kijana mwenye taaluma ya uhasibu kwa ajili ya kufanya kazi. Sifa: Kijana wa kiume, kulingana na mazingira ya kazi na uwajibikaji...
2 Reactions
19 Replies
819 Views
Nimejitokeza kutafta kazi humu ndani kwa mtu yeyote anaejua kama kuna kampuni inatafuta mtu wa mechanical anifamishe kupitia pm yangu, Natanguliza shukurani zangu kwenu wadau.
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari za saizi wakuu, Naitwa Mary nina miaka 24 nina elimu ya chuo naombeni kazi yoyote halali. Nifanye nakaa Kigamboni hata kesho Niko tayari kuanza. Simu: 0682787031
2 Reactions
9 Replies
863 Views
Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea. Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana. Naomba...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndungu zangu Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wakuu Mimi ni muhitimu wa shahada ya uhandisi mitambo yaan mechanical engineering Natafuta kazi au nafasi ya kujitolea ili niweze kuendeleza taaluma yangu na kujiinua kiuchumi kazi...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu natafuta au connection mim ni civil engineering
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Mimi ni fundi wa magari nina uzoefu wa takribani miaka nane sasa natafuta sehemu ya kufanyia kazi nipo dar es Salaam. Au kama kuna mtu atakua tayari kufungua ofisi kwaajili ya...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Nina umri wa miaka 28 ninaishia Bagamoyo maeneo ya Mapinga shule ninao uzoefu wa kutosha kwa kazi hiyo nimefanya kazi ya stationery kwa zaidi ya miaka 7 na Secretary hivyo ninaouzoefu mkubwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari JF Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyoonesha. Jamani ndugu zangu mimi nimekuja kwenu kwa ajili ya kutafuta kazi, nina Diploma ya Rural Development planning, lakini pia nina short course...
0 Reactions
7 Replies
544 Views
HABARI YENU WAKUU, Natafuta kazi yeyote halali ya kwenda na kurud mwenye connection please napatikana Moshi mji. PIA NINA TAALUMA Diploma accounting &finance, b)driving Class D 3 years...
1 Reactions
8 Replies
910 Views
Habari wanajamvi Natafuta kazi ya HR Administrator ninaishi Dar es salaam lakini kazi popote. Nawasilisha. Asanteni
1 Reactions
11 Replies
675 Views
Wana jf kwema, natafuta kazi yoyote iwe halali nipo Arusha, professionally mm ni mwalimu wa Geography na history. Nina ujuzi wa computer. Fluent in English and Swahili.
1 Reactions
8 Replies
969 Views
Mimi n mhitimu wa kozi ya social work natafuta ajira au sehem ya kujitolea
2 Reactions
11 Replies
688 Views
Habari zenu Natafuta kazi ya ofisini lakini pia nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,mimi ni mwanamke,naishi arusha,nina miaka 33, elimu yangu ni certificate of human resource. Natanguliza...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa majina naitwa Abdallah nna miaka 23 nimemaliza chuo mwaka huu natafuta kazi ya ualimu shule binafsi au hata Hotelini, Kiwandani nipo tayari nipo Dodoma mawasiliano 0657897884
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom