Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wana jf nahitaji dereva mzuri na mzoefu wa kuendesha pikipiki (bodaboda) aina sunlg kwa kufanya nae biashara hiyo ya ambaye ni kijana mdogo mccheshi, mwenye kuvutia wateja, mkarimu...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
kuna Bro Wangu Hapa Hom Ana kadigrii Kake Kutokana Na Uhaba Wa Ajira Akawa Amejishikiza Ktk Kampun Moja Hapa Mjini(boss Muhindi) Yaani Wanamovertime Bila Malupulupu Yoyote, Inatakiwa Aingie...
0 Reactions
72 Replies
9K Views
habari wana jf samahani mwenyewe kujua kiwango cha mshahara wa ngazi hii ya PHTSS 4 mpaka 7 ni kiasi gani naomba kujulishwa mwenye kuelewa hicho kiwango
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa taarifa za uhakika ambazo hazina chenga, ukweli ni kwamba kuna uhaba mkubwa wa madereva Serikalini. wengi wao wamekosa sifa za kuingilia ktk utumishi wa UMMA yaani kuwa na cheti cha kidato cha...
3 Reactions
24 Replies
6K Views
Ndugu zangu, natafuta zile wheel cover, nataka kutangaza biashara yangu ambaye ana kampuni yake inayoziprint au kutengeneza aniambie nataka moja kwanza niichek then bei ikiwa nzuri tutaongea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref. Na EA.7/96/01/D/07 21st January, 2013 VACANCIES ANNOUNCEMENT The Public Service Recruitment...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Job Vacancy for Associate Client Partner at Franklin Covey Essential Job Functions: 1. Serves as key initiator of new business development to target medium and large sized accounts for long...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mimi ni graduate natafuta kaz yeyote kwa level yangu ya elimu iwe part time,temporaly au parmanent nimesoma social science nimeshawah kufanya kaz ya cashier na customer care kaz yeyote naweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta sehemu ya kufanyia field kwa vitu vifuatavyo.. -Database administrator -System/web design and implimentation using php & html na kwa kutumia joomla cms. -System administrator -computer...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utumishi wametangaza nafasi za kazi wenye sifa jaribuni tembeleaPUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari, mimi ni mwanafunzi wa ustawi wa jamii. Nilituma maombi ya kujiunga na exchange progamme mwaka jana iliyochini ya Tanzania Youth Coalition(TYC). Hapo jana majira ya saa8 mchana nikapigiwa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuu wana JF, Nina mpango wa kupiga chini hii job ninayoifanya maana naona inanilostisha na haina maslahi wala future kwangu. Nataka nitumie ile njia ya kupiga chini job by giving a notice...
0 Reactions
32 Replies
10K Views
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule kubwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NAFASI YA KAZI: HOUSE KEEPING Mahali: Dodoma Mjini Sifa: Awe na uwezo wa kupika (chef), Awe na uwezo wa kuongea lugha ya kiingereza. NB: Nafasi ya upendeleo kwa yule...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jaman wana jf: nina sister angu ana certificate ya hotel management. Hivyo anatafuta ajira mwenye kujua wapi anaweza pata awasiliane nae . 0717 029568 Email: ruthjosekade@gmail.com.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ndugu wanajamvi mimi nemeachishwa kazi baada ya kamuni yetu kufunga virago hapa Tanzania. naomba mtu anisaidie jinsi ya ku calculate fedha za usafiri kurudi mahali nilipokuwa kabla ya ajira. je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF natumai mko poa sana..................... Ombi langu ni kwamba naombeni msaada wa kujua interview za tanroads zinakuwaje je zinakuwa za oral au written ...... Tafadhalinni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau vp, Nafasi zilizotangazwa za TANROADS mbona Morogoro ndiyo wameishaita kwa ajili ya usahili, hawa jamaa wengine wa Dodoma, Lindi, Mtwara, n.k mbona kimya? Tupasheni kama kuna mdau ana habari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Usaili umefanyika toka mwaka jana mwezi wa kumi tarehe 5 mbona kimya hadi leo au ndio siasa? Manake kada zingine zote washaitwa kazini tena hata waliofanya usaili mwaka huu wameitwa kazini wenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hadi kufikia sasa taarifa zilizofikia vow zinasema tra wametuma email ya kuwaita watu kwenye interview itakayofanyika tarehe 04/02/13 msimbazi centre. Taarifa nilizopata ni kwa wale walioapply...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom