UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
VACANCIES
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following...
sasa we binti unatafuta kazi tunakuambia kazi za ndani unakataa wakati unasema kazi yeyote? be serious mbona mmi nilivomaliza form four 2002 nilikosa ada ya kuendelea kutokana na hali ya family...
Tunahitaji watu kwa ajili ya post ya Sales Executive, English and Internet must know. Form Four and College leavers can also apply.
Send you CV to munir@darugar.net
Hello JamiiForums. i'm new registered user of JamiiForums. I would like to ask about employment oppotunity in TRA. when will them provide employment to new applicants in year 2013?.
Hello Guys,
We are looking for a well knowledgeable person in the IT industry to help with proposal writing for various project themes including Networking, Custom Software Development, Website...
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
Habari zenu wadau,
Ninaomba mtu mwenye taarifa ya sehemu wanapohitaji mwalimu wa Kifaransa anifahamishe.Nina shahada ya Elimu na uzoefu wa miaka 5.Niko tayari kufundisha part time katika...
Wadau habari za jumatatu. Tumeunda kikundi na tunafanya kazi za kutafsiri. Editing, proof reading na writting. Pia tunafanya kazi online kwa kutoa huduma hiyo. Yeyote anayefanya kazi kama hii...
TUNA NAFASI YA KAZI, TUNAHITAJI SECRETARY KWA HARAKA, MWENYE DIPLOMA YA SECRETARY
AU
MWENYE CHETI CHA SECRETARY AMBAYE AMEHITIMU KIDATO CHA SITA
PIA MWENYE UWEZO WA TYPING AND POSTING FASTER...
Mie ni kijana wa kitanzania nina MSC ya IT pia Nimepiga BE in Electronics yoyote mwenye uwezo wa kunisaidia kazi au anayependa tufanye naye kazi nipo tayari hata kama ni kufundisha .Plzz naomba...
Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni
Salaam wana JF,
Kwa kuzingatia kuwa jukwaa hili ni moja ya majukwaa ambayo kila kitu kinawezekana, ombi langu nahitaji mtu yoyote ambaye anaweza kubuni energy cooking stove na hasa stove(jiko)...
What up jf member!
Kwa wale walohudhuria written intervew ya NEMC,pamoja na agency nyingine,may you please tell us the results? Sababu oral intervew inafanyika tar 21.01.2013
Leo tarehe 19 January 2013 nilitakiwa kuhudhuria mtihani wa kwanza wa mchujo utumishi, ila nimeshindwa kuhudhuria, je ninaweza kukubaliwa kufanya Usaili wa mahojiano ambao ni...
Ni shule ya hadhi ilioko mkoani KAGERA.
Shule inadhaminiwa na wafadhili kutoka MAREKANI chicago.
Shule ina kidato cha kwanza mpaka sita.shule hii ina wanafunzi wapatao 560 .
Ina itaji walimu...
MIMI NINA DIGRII YA SAYANSI YA MAABARA NA BIOTEKNOLOJIA (BSc. In BIOTECHNOLOGY AND LABORATORY SCIENCE), NIMEHITIMU SUA 2009-2012. PIA NAJISHUGHURISHA NA BIASHARA YA KUUZA VIFAA VYA MAABARA...
Mimi ni mwalimu wa masomo ya science (BSc Education chem and biology) mwenye uzoefu wa miaka mitano...Natafuta kazi kwenye shule ya Private yenye kulipa vizuri...............! please ni PM kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.