Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Greetings from True RoadTechnologies Limited!------A One stop CAREER & PERSONAL Development Centre True Road Technologies Limited is a career and personally development company with office at...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa yeyeto mwenye habar kuhusu serenget brew,mwanza kwan kuna watu tulifanya interview department ya stores and engineering tuliopita tukapewa stakabadh zote mpaka medical checkup...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
habar wana jf, hivi zile kazi za wizara ya michezo post 30 zilizotolewa mwezi wa kumi bado hawajaita interview. mwenye habari anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wiki iliyopita kuna kampuni ilipost kazi za Research Assistant kupitia Zoom inaitwa Centre for Environment Protection.Jana saa tano usiku nikatumiwa meseji hii Habari,naitwa rachel frm Centre for...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Anatakiwa mfanyakazi wa saloon ya kike,awe na uzoefu wa kutosha wa kazi zote za salon.saluni ipo maeneo ya kishiri mwanza kwa maelezo zaidi nipm namba yako ya simu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anatakiwa mhasibu wa kike mwenye certifiketi ya (ACCOUNT)na Sio mwenye Diploma au zaidi. Tuma CV Pakee kwenda sirachem@yahoo.com ni vizuri akiwa mwenyeji wa Arusha
1 Reactions
6 Replies
2K Views
qualifications 1. Ajue wajibu wake kazini 2. Awe very smart 3. Awe anauwezo wa kuandika na kusoma 4. Awe tayari kuvaa sare 5. Awe mcheshi kwa wateja 6. Awe amezoea kuvaaa viatu virefu 7...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wanajamvi habari zenu? Napenda kuuliza nafasi za jesh zinatoka lin? Au mwenyetaarifa zozote kulihusu maana mi nina bachelor na napenda kujiunga na jesh niwe mkakamavu, natangulza shukran za dhat...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kwa yeyote anayejua nafas za intern znapatkana org gan naomba anisaidie,nimesoma acc.mahal ni Dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi nina diploma pia ni graduate wa statistics at udsm. Nina uzoefu na kazi hizi za data analysis and management. Pia nina uzoefu wa monitoring and evaluation of projects. Kwang mm kuvoluntia au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF? Naombeni msaada natafuta kazi inayohusiana na IT,nina kadiploma cha IT naona kanaelekea kuozea home.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ninaliza form 6 next month xo natafta kaz yeyote ya kufanya nkiwa na wait 4 ma results..mpka hapo ntakapoenda chuo januar next year kama ipo 0656404721.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani wana jf,mimi nimsichana,memaliza chuo mwaka juzi,nimetafta ajira sijapata,naomba wenye uwezo mnipe mkopo nijiajiri,nina plan ya kufanya biashara ya chakula yani kupika. nahtaji mtaji wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani nadhani kila mmoja anaona jinsi hali ya ajira ilivyo ngumu hapa nchini Tz,vijana wengi wamemaliza chuo lakini hawana wanalolifanya zaidi ni kuzurura ovyo mitaani na kulala mpaka saa saba...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Naomba mnijuze wana jamvi, kwa anaefahamu hivi NBC customer care net salary ni ngapi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini humu, kuna rafiki yangu alifanya interview na erolink ya nbc customer care alianza na written na akamalizia na oral alifanya mwezi wa kumi na mbili mwanzoni zen wakamwambia watampigia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule kubwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wireless and Mobile Communication System Scholarships in Korea Food & Beverage Manager at Nairobi club Chief Accountant at Nairobi club Accounts Manager at Aga Khan Education Service...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanabodi, Niliahidi kuleta nafasi za kazi humu kadri zinavyotokea kwenye kampuni zetu: Tunahitaji mhasibu mwenye sifa zifuatazo: 1. Degree in ACCOUNTING na CPA 2. Kwenye degree awe amepata GPA...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
A new and upcoming company in agriculture is looking for qualified business consultants in the sector. The consultants will help the company in setting up of the management structure and how the...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Back
Top Bottom