XP-SALES MARKETING
S L P 5752
DAR.
KAMPUNI INAPOKEA VIJANA JINSIA ZOTE
kwa ajira ya muda au kudumu.
Sifa: miaka 18-30
Uwe tayari kufanya kazi dar.
Elimu kuanzia form four Nk...
''wana jf napenda kufahamu kama waliofanya interview na kuchaguliwa na baadhi walipigiwa simu na kuambiwa tarehe 3/12/2012 wanatakiwa kuanza training na ilisitishwa kwa muda na taarifa kutoka...
Habari za sasa wana jamvi!?
Mimi niko kinondoni Dar es salaam, nasoma katika chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT) course ya logistics and transport management (bachelor degree).
Natanguliza...
jamani naomba sana mjitahidi kutengeneza network,mimi nimeanza hilo toka niko chuo na network niliyonayo kwa sasa imenifanya nijiajiri na natengeneza kipato kikubwa sana ningali bado sijaajiriwa
poleni na mihangaiko ya sikukuu,hapa nilipo nina tatizo amabalo linanishinda kutoa maamuzi maana ni la muhimu katika maisha
mwezi wa sita nilipomaliza chuo nilitafutiwa kazi katika kqmpuni...
Wasalaam JF!
Napenda kuuliza jamani hawa Barrick utaratibu wao ukoje wa kuajiri maana mimi nilifanya vetting na consultant wa kampuni hii huko Masaki kitambo kidogo sasa ni miezi nane bila hata...
Habari zenu wana JF! Kuna dada flani (shemeji yangu) anategemea kupata mkopo wa 120m (around 80000 usd) toka benki flani nchini! but still yupo stranded hana idea ya moja kwa moja afanye...
Wana jf, hv ni halali kwa mtu mwenye bachelor ya ualimu na ambaye anataka kujenga C.V kufundisha hizi shule za msingi za kiingereza maarufu kama medium primary schools?
​Wana jf,hv ni halali kwa mwenye bachelor ya ualimu na anayetaka kujenga C.V kufundisha hizi shule za msingi za kiingereza maarufu kama medium primary schools.
Wadau naomba msaada kwa mwenye tetesi kuhusu ajira za UDOM hasa kwa tuliofanya written interview tarehe 17/11/2012 zitaanza lini na nini kinaendelea atujuze, maana wa Administrative posts...
Anatakiwa mhudumu kwa ajili ya kumhudumia bibi mzee-hajiwezi,kazi kubwa ni kumpikia na kumuosha.Anayetakiwa ni mhudumu wa kike,umri kati ya 18-35,kabila yoyote,kazi iko DAR.,kula na kulala...
Zasaizi jaman mimi ni kijana wa umri wa miaka 21 nahishi kinondoni taaluma yangu ni maswala ya HOTEL.
Nina uzoefu wa mwaka mmoja na nili waihi kufanya kazi JaNGWAN SEA BREEZ,SLEEP WAY na sasa npo...
Vijana wawili wanahitajika kazi ya data entry mvulana na mschana wasio na majukumu coz salary ni 250000 take home,sifa nyingine wawe wanakaa mbagala au kurasini coz office ziko shimo la udongo...
Habari wanabodi.
Nahitaji mtu ambaye atanisaidia upimaji wa viwanja vyangu viwili mpaka hatua ya kupata hati miliki title deed.
Kiwanja cha kwanza kipo Bunju Beach, DSM, kina nyumba na nilikuwa...
Hello wana JF. Habari:
Nahitaji kujua kwa wale ambao walifanya written interview ya administrative posts za UDOM tar 17 November 2012; vipi kuna yeyote ambaye kashaitwa kwa ajili ya Oral...
Wadau kuna tetesi kuwa ajira mpya za walimu zitatoka Januari 2013, lakini wanaoongea zaidi ni viongozi wa CCM lakini mimi nina mashaka sana na hawa jamaa maanake mengi wanayoyatamka katika...
nina elimu hadi ya kidato cha sita...nina uwezo wa kufundisha masomo ya sayansi lakini..ninahitaji mwisho kidato cha pili...mahali popote naweza fundisha ata ikiwa nyumbani kwa mwanafunz...
25 Gold, Diamond and Copper Primary Mining License (PML's) for sale:
Coordinates: contact us
Location: Iramba-Singida for Gold and Diamond PMLs and Chunya -Mbeya for Copper PMLs
Price...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.