Aisee ndugu zangu xaxa mambo yamekuwa tyt na umri huu wa miaka 22 najihc kama mzee kulingana na hali ya sasa kama kuna nafasi za kazi kwnye hzo sector tusaidiane kukaa mtaani ni miyeyesho me najua...
World Vision Tanzania is Hiring Organizational Development& Training Specialist with the following specifications below;
Position: Organizational Development& Training Specialist:
Location...
Sifa za mwombaji:
Awe mkazi wa morogoro
Awe amemaliza kidato cha IV au VI na kuhitimu mafunzo ya compyuta
Awe na UWEZO wa kudesign kadi
Awe na uwezo wa kutumia photocopy machine
Masharti...
Nimepigiwa simu na hawa jamaa wanaitwa Supra Resources, wanasema wapo karibu na Best Bites restaurant kwa ajili ya job interview.
Wadau kuna mtu anawafahamu hawa jamaa.
Nahitaji information...
Natanguliza salamu wana jf hali ya maisha imenifanya kuomb msaada hapa nina elimu ya wastani naomba kazi popote tanzania kaz yoyote dukani, ofisini jaman msaada stress zimeanza nimekaa nyumban...
Kuliko Kuwa Vijiweni na Kujiingiza ktk mambo yasiyofaa ktk jamii
Jamani kama kuna kazi yoyote iliyo Harali ktk jamii, Tafadhari Naombeni Nafasi
Nipo Dar, Ni kijana mwenye elimu ya form 4 (nina...
TRUE ROAD TECHNOLOGIES Limited is a Tanzanian leading career and personal development company established in November 2012 to spearhead personal and career development programs in Tanzania. It...
ndugu wana JF,
Kuna wachina wasiojua kiingereza na wanahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa sita na wa saba.
Nahitaji kama kuna mtu anayejua kichina kidogo tu, aliyeko Tanzania ili kuwapa...
natanguliza salamu zangu wadau ... mim ni graduate kusema kweli after kumaliza chuo nimekuwa nkijitahid sana kuaply kaz zingne online zingne mguu kwa mguu mpaka ofsin lakin cjabahatika kupata...
Requirements:
a) Holder of a first Degree or equivalent qualification in Social Science, Business, Accountingor any other related field from a recognized university.
b) At least five (5) years...
Wana JF wenzangu!ni tumaini langu kubwa kabisa ya kwamba,wote tupo aware na tatizo hili kubwa kabisa la ukosefu wa ajira.vijana ni waathirika wakubwa kabisa katika nyanja hii kias cha kutishia...
Nimepigiwa simu TANROADS MWANZA kwa interview next week, position ya Shift-in-charge, hii ndo interview yangu ya kwanza kufanya tangu nimalize chuo, naombeni mnipe mwanga inakuaje na ni base...
jamani wanajamii wenzangu kazi tutafute ila tujipange na majungu ya humo ofisini,mtu akitoka kidogo anaanza kupigwa vijembe,alafu wewe mgeni unafikilia mmh na mimi nikitoka kumbe ndio...
Baada ya kutuma CV kwenye makampuni na mashirika kibao hapa Tanzania bila kuona mafanikio yoyote, sasa naamua kuuanza mwaka door to door programme, nikiwa na maanisha nataka kuandika barua...
HESHIMA KWENU WANA JF.
Tafadhali naomba msaada wenu, nina ndugu yangu ameajiriwa serikalini kama mwalimu wa sekondari kwa miaka zaidi ya mitatu na sasa amepata nafasi ya kufundisha chuo kikuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.