Naomba mchangn wa mawazo ili nimshauri ndugu yangu. Yeye ni mwalimu ameajiriwa na serikali, alifanya mpango akaenda kusomea shahada ya (CED) maendeleo ya jamii na uchumi amemaliza 2011. ametafuta...
MM Research&consultancy company ni kampuni ambayo inafanya tafiti mbalimbali hapa Tanzania,ina wafanyakazi waliobobea katika tafiti.Tunakaribisha makampuni mbalimbali pamoja na taasisi zote ndani...
Nipo napambana na utafutaji wa kazi si unajua tena maisha kila siku ni mchakamchaka. Nimekutana na kazi kwenye gazeti na naona inanifaa sana. Mode of application ya kazi imekaa kama ifuatavo
To...
KAMPUNI INAHITAJI CIVIL ENGINEER KWA KAZI YA MWAKA MMOJA,
NA PIA ATAFANYA NA CONSULTING FIRM,
KAMA UPO TAYARI AU UNAMJUA NITUMIE CV
faabroz@gmail.com au faabroz@yahoo.com
deadline tar 7/january/2013
Nimeajiriwa kwa diploma serikalini kama mwalimu.nimemaliza degree ya kwanza ya elimu.nikipata ajira mpya napaswa kufanya nn ili niende ajira mpya ila nisianze upya utumishi?
Ref No WVT/P&C/F13/12
Job Title: Education Manager
Reports to: Zonal Manager , Eastern Zone
Location: Tanga
Purpose of the position:
Provide leadership to the management of the project and...
nna
BA.POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION, kwa ufasaha naweza
fundisha CIVICS,HISTORY,GS,ENGLISH,GEOGRAPHY tukikubaliana salary npo
tayari kujaza mkataba,zaidi niite kwenye...
JOB ADVERT
Community Initiative Officer
Background : In line with the mission of Omasi, the Social Department plays
a critical role in creating viable, locally owned enterprises producing...
WanaJF,
Ni lini tutaondokana na hali hii ngumu ya upatikanaji wa ajira? Kwa wale wasio na ajira kama mimi nawashauri kuwa makini sana na baadhi ya matangazo ya kazi yanayowekwa mitandaoni...
Ndugu zangu nimetonywa na mtu wa karibu kuwa wanaupload majina ya interviewee wa school of life science hivyo mlioomba mkae tayari kwenda muda c mrefu itaachia mcheki wenyewe
New job listings on
https://careers.un.org/lbw/home.aspx?viewtype=SJ&vacancy=All
UNDP Jobs
United Nations Foundation - Careers
Goodluck and all the best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.