Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Umri wangu ni miaka 31,jinsia me..natafuta kazi yoyote halali hapa dodoma.
Elimu yangu ni kidato cha sita ila pia nina uzoefu basic wa...
Natafuta kazi yoyote ile.Nimesoma bachelor of business administration (Accounting) nimehitimu 2018 lakin tangia nimemaliza chuo nilikua nikufundisha o -level masomo ya basic mathematics na...
Wakuu, habarini,
Naomba kupata elimu kidogo naamini humu wataalamu wapo.
Je, mtumishi wa umma aliyepewa ruhusa ya kwenda masomoni (mafunzo ya muda mfupi yasiyo zidi mwaka) anaweza kuomba...
Habari zenu wanajukwaa, kuna kijana anahitaji kazi katika maduka ya jumla jumla yanayouza kati ya vitu vifuatavyo
1)Vifaa vya umeme
2)Machines mbali mbali.
Anapatikana Dar.
Elimu yake ni kidato...
UPDATE: INTAKE MPYA 2024 INAENDELEA MWISHO NI TAREHE 10 JANUARY 2024.
Mabadiliko ya Vigezo vya elimu isomeke;
“Elimu ya darasa la saba na kuendelea mpaka chuokikuu. Kwa mwombaji wa darasa la...
JUMA PAUL MATHIAS,
S.L.P 289,
TEMEKE,
DAR-ES-SALAAM.
30.8.2022.
MKUU WA WILAYA,
S.L.P .... ,
TEMEKE.
K.K
MTENDAJI WA KATA,
KATA YA......,
SL.P .....,
TEMEKE-DAR ES SALAAM.
K.K
MWENYEKITI WA MTAA...
Mwenda bure si mkaa bure, huenda akaokota.
Pamoja na udhaifu/ulemavu wangu sijakata tamaa kurusha ndoano kila ninapopata/kukutana na fursa yenye harufu ya mkate wa kila siku kwani nina imani...
Habari wakuu hongereni kwa mwaka mpya.
Nikienda moja kwa moja kwenye mada. Mimi natafuta kazi yoyote ila nina uzoefu wa miaka 2 laboratory technician pia quality control pia nina uzoefu wa...
Naufufua huu uzi! Nahitaji watu 7 kwa ajili ya kazi ya kutafsiri kutoka kiswahili kwenda kingereza. Naomba unitumie email yako kwa sms hapa. Nitakuemail maelezo mengine! mwisho wa kinitumia PM ni...
Natafuta kuwa winga wa simu mpya, kama unamiliki duka la kuuza simu mpya aina zote naomba kazi dukani kwako.
Sitaki uniajiri, ila utaniuzia simu kwa bei ya jumla ili na mimi nipate chochote...
Jaman jaman huku mufindi mashamba ya chai kugumu alikuambe mtu, hivi nimewaza adi nipate kilo 20 kwa wepes wa majani haya no kwa kweli narudi maskani, huu uuaji.
Hello wapendwa,Mimi ni binti Nina miaka 26
Ninaishi Dar es salaam
Natafuta kazi/Nahitaji kazi yeyote ambayo HAIVUNJI SHERIA ZA MUNGU na HAIVUNJI SHERIA ZA NCHI
Nina certificate ya (Medical...
Hello ndugu zangu kwa wale walioitwa kwenye usahili halmashauri ya mkuranga tupeane moja mbili tatu ndugu zangu..,mimi nipo Arusha nitafika huko soon
Sent from my SM-G781U1 using JamiiForums...
Mfanyakazi wa kuuza duka la vyakula na vitu vingine anahitajika.
MAJUKUMU
Atauza vitu vya dukani na kutunza kumbukumbu zote za mauzo.
Atasafisha eneo lake la kazi kila siku
JINSIA: Awe...
ZINGATIA MAMBO YAFUATAYO!!!
1. Jenga nyumba mapema. Iwe mjini au kijijini . Kujenga katika umri wa 50 sio mafanikio. Usizoee majengo ya serikali. This comfort is so dangerous. Wape nafasi watoto...
Position: Business Development Officers (2 Posts)
A Petrol Station located in Vikindu, Mkuranga, is currently looking for 2 business development officers. The candidates will work to boost sales...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.