Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari! Naomba kama kuna mdau yeyote aliyewahi kufanya interview za kuandika kada ya Mchumi daraja la II anipe mwanga kinachoulizwa hasa maana Mambo ya uchumi ni mengi. Kama kuna maswali ni...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello, naomba tupeane ideas au maswali kuhusu hii kada, mliowahi kufanya interviews ya afisa habari hasa za utumishi mnaweza mkashare nasi kuhusu ili nasi tutusue.
0 Reactions
5 Replies
706 Views
Siku za hivi karibuni hasa hasa kuanzia kipindi cha awamu ya tano ya "mwamba" ajira serikali zimekuwa ngumu sana hata kwa zile kada zinazo ajiri watu wengi kwa wakati mmoja kwa mfano nursing...
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Hello'nipo dar Natafuta kazi wapendwa'yoyote mwenye connection ya kuuza duka au supermarket 'please.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba kuuliza kuna yeyote aliye na uhakika vibali vya uhamisho wa December kama vimeanza kutoka?
1 Reactions
2 Replies
807 Views
Siku ya Jumapili, ofisi ya Kisaki (Kwa Dada Kulwa) huwa inafunguliwa jioni na hasa ni kwaajili ya kutoa vibali vya wanaoingia jumatatu. Hivyo ilipofika mida ya saa kumi na mbili kasoro ya jioni...
8 Reactions
20 Replies
3K Views
Salam! Njoeni mnitoe hofu leo nimemsikia rais Samia akiongelea juu ya kufutwa kwa mashirika ya umma ambayo hayana tija. Wasiwasi wangu ni kuhusu kusimama kwa utoaji wa ajira Kama kipindi kile au...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu anaitajika mwalimu mmoja wa primary awe wa kiume. Please tunataka wa kiume maana walimu wa kike wapo wa kutosha. Awe na experience, shule ipo mkoa wa Simyu. Karibu pm, weka namba ya simu...
2 Reactions
17 Replies
836 Views
Habari WanaJamvi,, hivi hizi affidavit of birth zinatakiwa kuwa certified.
0 Reactions
9 Replies
451 Views
Naomba mwenye kujua connection za kupata kazi ya ubaharia nje ya nchi anisaidie. Nina diploma ya Marine Operation upande wa Engine Mechanic
1 Reactions
17 Replies
7K Views
JOB VACANCY: OPTOMETRIST Eyenova Specialized Clinic Who are We? EyeNova Specialized Clinic is the notable specialized hi-tech private center in Tanzania dedicated to providing comprehensive...
0 Reactions
1 Replies
379 Views
Mambo magumu hapa aise ninashida na kama 50,000 kila ninayemkopa hana kama kuna kibarua sehemu au mtu anakazi fulani ya kufanya nikapata hii pesa basi msaada unahitajika. Sina kazi ya maana na...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of the Ardhi Institute Morogoro (ARIMO), Dar es salaam Institute of Technology (DIT), Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), Tanzania Broadcasting Corporation...
0 Reactions
3 Replies
676 Views
Mdada/Mkaka (Sio Mmama/Mbaba) Anahitajika Kijana ambae ana muonekano wa Kijana atakae weza kufanya kazi ya Usafi na kusafisha Bidhaa zilizopo Ofisini. Majukumu Yake ni Kuhakikisha Sakafu Safi...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
www.eyenova.co.tz WE ARE HIRING A MEDICAL RECEPTIONIST Who are We? EyeNova Specialized Clinic is the notable specialized hi-tech private center in Tanzania dedicated to providing...
0 Reactions
4 Replies
546 Views
Habari Wakuu? Bila shaka ni wazima Afya, poleni sana na changamoto za kutafuta ugali. Mwaka 2023 ndo huo unaisha, Wasaka ajira wenzangu, huu mwaka umeishaje? Unajionaje kwenye harakati za kusaka...
0 Reactions
1 Replies
278 Views
Kwanini CRDB bank huwa inachelewa kuwapangia vituo vya kazi watu ambao imeshawapa majibu ya interview? Naomba kufahamu kwa mwenye uelewa na hili swala.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Kuna tetesi ya walioajiriwa TRA kuwa wanapigiwa simu kwenda kuchukua ajira. Swali langu ni kwanini wakati wameita interview walitangaza? na wanapoajiriwa wasitangaze? Hii inaonesha wazi...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Samahani nilikua naomba kazi kampuni x vigezo vikawa tin number nikampa mtu anitengenezee yeye akatengeneza ya non businesses Sasa imekataliwa nafanyaje kubadili msaada jaman
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kazi nafasi ya vocational training na utumishi. Naombeni msaada wa Nondo za maswali kuanzia written na oral.
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom