habari?
hivi kuna mtu amewahi fanya mitihani za utumishi anipe hints maswali yanavyokuwa?
kama kuna mtu kwenye hii list kachaguliwa naomba anipe hints kidogo za maswali.
Nilikua nauliza kama naweza pata Chumba maeneo ya upanga, posta au eneo lolote Karibu na chuo cha CBE. Kwa Tsh.100,000/Mwezi. Kama ikiwa ngumu, Basi Fremu yenye sehem ya Biashara na kachumba...
Sichagui kazi kikubwa iwe ya halali
Umri: 23
Elimu form 4, diploma
Niko na uzoefu wa kuuza Duka la chakula kwa miaka 4. Pia, nina uwezo mzuri kuhusu mipango ya biashara na pia natoa ushauri wa...
Habarini za majukumu wakuu..ninayo namba ya NIDA lakini sijafanikiwa kupata kitambulisho hadi sasa..naomba kwa mwenye ujuzi wakupata soft copy anisaidiea
Job Post: Instructor Positions at Brightinstitute
Zanzibar-Tanzania
Required Education:
- Master's degree in Business
-Master's dehree in Education
Master's degree in Public Health
Master's...
Habari wana Jamii.. Nilikua na omba kujua namna ya kupata connection ya kazi/ajira Kwenye Mashirika ya kimataifa kama vile UN,Unicef na kadhalika .. Nina Degree ya Account na CPA.
Shukran..
Waungwana habari zenu! Nimekuja tena hapa kutafuta kazi maana hali yangu kiuchumi ni mbaya sana!
Nina shahada ya Aquatic sciences and fisheries (Sayansi Akua na Uvuvi) niliyohitimu mwaka 2020...
Habari ndugu,
Tunatafuta nfanyakazi ambaye anaweza kuhudumu katika sekta ya biashara na masoko na mengineyo , eneo SINZA MORI Dar.
Vitu muhimu;
Awe anaishi Dar es salaam isiwe mbali sana na...
Yaani nimeshangaaa sana, kuna jirani yangu ana mtoto kasomea ualimu wa Chemia na Biologia, SUA.
Alimaliza 2021, chakushangaza katafuta kazi private, mshahara ni 250,000. Jamani walimu, yaani...
Mimi NI kijana wa miaka 23
Nahitaji kazi yoyote halali either ya nguvu au akili au zote kwa pamoja nimemaliz form four na nikisoma diploma miaka 2 wa tatu nimeshindwa kutoka na changamoto za ada...
Pole na kazi, Mimi kwa majina naitwa Salome Edward mwenye umri wa miaka 23, Ninaomba kazi ya Sekretari/stationery Pia Mimi ni mzoefu wa kazi hii nimefanya kwa kipindi cha miaka 5,nipo singida ila...
Habari wapendwa.
Mimi ni graduate (I.T) ambaye kwa muda mrefu nina Hustle mtaani, Hapa Dar es salaam.
Natafuta Kazi ya Boda Boda au kazi yoyote Halali Ili nipate kujikimu kimaisha.
Uaminifu...
Kama title inavyosema Umoja wa mataifa (UN) watangaza nafasi mbali mbali za kazi katika ukanda wa Gaza.
Hii sio mara ya kwanza kwa U kutangaza nafasi hizo katika tovuti yao.
nimeona niilete hapa...
Anatatafutwa mwalimu kwa ajili ya kufundisha katika 'Tuition Centre'.
Sifa
Elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea.
Kidato cha sita awe amesoma PCM na atafundisha masomo ya Physics...
Watanzania 500 Wauguzi Wanawake Kunufaika na Ajira Nchini SAUDI ARABIA. Sifa Diploma au Bachelor degree na awe Mwanamke Mtanzania. Tuma maombi au CV yako NLMIS au esu@taesa.go.tz Mwisho wa kupokea...
Wadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa...
Habari zenu wana jamii forum,
Natafuta gari ya mkataba nifanyie kazi au biashara ya uber hesabu kwa wiki 170,000 gari ikiwa mpya miaka 2 na nusu kama used tutaangalia thamani ya gari sokoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.