Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Vijana wa kike kwenye sekta ya Afya mumemwagiwa Ajira ambazo zitakuwa ni Saudi Arabia. Chagueni mtaenda Saudia au Israel kwenye vita.? ===== DAR ES SALAAM: HATI ya makubaliano ya ushirikiano wa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Naombeni msaada kwa watu ambao wako Bagamoyo ama karibu na Bagamoyo yeyote ambaye atakuwa na kibarua cha kufanya kwa siku anisaidie niweze kupata ili nipate pesa niweze kujikimu binafsi Iwe ni...
1 Reactions
2 Replies
382 Views
Habari wapendwa. Katika kuhangaika kutafuta Ajira, nimekuwa nikiona matangazo ya kazi mara kwa mara yakitolewa na Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Kwa anayelijua Shirika hili naomba anipe...
1 Reactions
7 Replies
682 Views
Hivi kwanini serikali mbaka sasa haitoi ajira kwa data clerks/officer pamoja na kuwepo kwenye muongozo wa NACP Zaidi inawaacha kuwa chini ya wadau na ajira zinatolewa kwa watu wa kada zingine za...
0 Reactions
0 Replies
296 Views
Nakipata Kama 50,000 nitakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata kazi so nipe kibarua tu nipate hio Pesa. Ukweli unahitaji pesa kupata kazi. Ukiachana na kutokuwa na Kazi changamoto nyengine...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company...
0 Reactions
1 Replies
354 Views
Mimi natokea bagamoyo, nipo nasoma katika Taasisi ya sanaa na utamaduni bagamoyo Bado niko mwaka wa kwanza, semester ya pili, sasa hapa kati yalinikuta matatizo yakasababisha nitumie nusu ya ada...
1 Reactions
7 Replies
621 Views
Msaada wandugu nimekula hela ya "ada"ya chuo, naombeni mwenye hata kakibarua cha kufanya kwa wiki anipee nifanye[emoji24][emoji24] Mimi napatikana bagamoyo Natanguliza shukrani[emoji120]...
1 Reactions
17 Replies
455 Views
Kama umemaliza hiyo fani kwa miaka ya karibuni na hesabu zinapanda vizuri, tafadhali nicheki. 1. Uwe unaishi Dar 2. Uwe huna ajira ya kudumu au kama unaweza tenga muda japo saa mbili kwa siku...
3 Reactions
2 Replies
577 Views
Wakuu msaada tafadhali mshahara wa mtu ambaye ana degree mbili seeikalin unakuaje. Maybe mtu ana degree na Health system manegement na pia ana degree ya social work unakuaje? Msaada tafadhali.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Anatafutwa Mfanyakazi wa stationery Ofisi ipo ILOMBA MBEYA VIGEZO -Ajue kutumia Adobe photoshop, Adobe Illustrator,microsoft office package, -Creative -uzoefu si muhimu Mawasiliano 0629081759...
0 Reactions
4 Replies
748 Views
Natafuta kazi katika fani ya kilimo, stationery au hardware Nipo Kahama natafuta nafasi ya kazi katika nyanja hizo.
0 Reactions
3 Replies
486 Views
Naomba msaada kujua ni aina gani ya maswali yanaulizwa kwenye interview za Tanroads hasa kwa nafasi za SHIFT INCHARGE. Asanteni
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Natafuta kazi yoyote mkoa wowote Nina uzoefu na computer maintance upande wa hardware na software ufundi simu, printer, console za magame. Nina uzoefu upande wa usafirishaji abiria Nipo Dar...
1 Reactions
1 Replies
431 Views
Huu ni utaratibu mpya wa kutoa ajira? Kwanini Majina ya waajiriwa hayawekwi hadharani? Kwanini watumiwe tuu Email? Mbona kweye usaili waliweka hadharani namba na wahusika wa Usaili? Kuna shida...
5 Reactions
98 Replies
10K Views
Wasichana wawili wa kuuza duka, wanahitajika: Waombaji wawe na sifa zifuatazo: 1.Wawe wasichana wa umri wa kuanzia miaka 19 mpaka 23 2.Wawe na elimu ya Kidato cha nne 3.Wasiwe na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wapendwa mimi ni mhitimu wa elimu ya chuo kikuu kwenye fani ya Mazingira na Jiografia, pia nmepitia mafunzo ya usalama mahali pa kazi (OSHA) Naomba kwa mwenye connection na makampuni...
1 Reactions
4 Replies
357 Views
Habari Wana JF, Mimi ni binti wa miaka 23 napatikana dodoma level Yangu ya elimu ni degree katika field ya mazingira Naomba msaada wa connection ya kazi au kwa yoyote Mwenye kuhitaji kibarua...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari mwenye connectionya kazi ya store au inayoendana na cheti cha records anichek,tusaidiane wakuu,kipoozo kipo
1 Reactions
2 Replies
503 Views
Back
Top Bottom