Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Kampuni yetu imejisajili NEST kwa ajili ya usambazaji wa vifaa mbalimbali vya ICT vipya (computer na fifaa vyake vyote). Anahitajika mtu anayejua bei za vifaa hivyo hapa nchini na nje ya nchi...
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Kama una ujuzi na uzoefu na kazi tajwa hapo juu.. Njoo PM na wasifu wako ( CV ). Note: Tunahitaji wenye uzoefu na kazi tajwa na sio elimu.
3 Reactions
18 Replies
773 Views
Habarini wana jamvi, Leo nimeona si vibaya niungane nanyi kwenye jukwaa hili kwa ajili ya kuomba tenda/kazi ya muda ya kufanya nyakati za Usiku. Kazi pendekezwa ni pamoja na kwenye...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza ajira 500 za Wauguzi wa kike ambao wataajiriwa na Serikali ya Saudi Arabia mapema mwezi January mwaka 2024. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Hivi ukiwa na namba ya NIDA unaweza kupata passport au mpaka uwe na kitambulisho naomba kujua hapo wakolongwa
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Elimu: Bachelor Degree in Official Statistics. Utaalam: Nina uzoefu wa kufanya; 1. Data entry 2. Data collection 3. Data management 4...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, Samahani kwa kuwasumbua naombeni msaada wa kuhusu application za ajira katika mfumo wa ajira portal nilikuwa nauliza kama kuna tangazo la kazi linahitaji applicants wawe na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa pendwa ndani na nje yanchi!Tuanze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi kubwa ya Maisha. Naombeni kama unamfahamu mwalimu au mtu yeyote ambaye anaweza kunifundisha Spanish...
1 Reactions
4 Replies
333 Views
Tuma CV yako raphael.temu.platinum@gmail.com Au whatsapp 0677032759 Mwisho wa maombi ni 22/12/2023
2 Reactions
12 Replies
780 Views
Habar bwana DeepPond nimekutumia ujumbe kwenye PM yako kwan nahitaji kazi ili nipate hela ya kula Kupitia biashara zako unaweza kunisaidia kwa kunipa kazi DeepPond DeepPond
17 Reactions
69 Replies
4K Views
morning,, Helo my fellowTanzania's recently there are some website claim to provide job vacancies,but trust Me most of them are scam Today I will provide you with some link for website to find...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Kama kisemavyo-kichwa cha habari hapo juu Majukumu yake ni kama yafuatayo Kuomba kwa mda mrefu na kwa mzigo kwa ajili ya kutatua changamoto za watu wengine Kushauri beneficiary...
10 Reactions
108 Replies
3K Views
Habari za sasa hivi waungwana. Nimekuja kwenu kuomba connection ya kazi zinazohusiana na ujenzi kiujumla. Educational background:- Ni graduate engineer katika fani ya uhandisi ujenzi. Nina...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Baada ya kuomba kazi humu na kutumia neno kuwa kazi iwe halali ama haramu...watu wakaogopa..lakini kotekote Cha muhimu uaminifu....Sasa nimepata kazi nashukuru Mungu...ingawa sio kwa connection za...
27 Reactions
82 Replies
7K Views
Tunatafuta mwalimu wa day care in Dar es Salaam. Vigezo awe mwanamke, tuna kituo cha day care Salasala, anayeona mema atupigie. 0717457679 CHANGAMOTO NI MATUMAINI / www.changamoto.org /...
0 Reactions
2 Replies
391 Views
wana bodi ,. Shaloom ! Nina uhitaji mkubwa wa dharula wa mhudumu wa duka la dawa muhimu. Duka lipo morogoro Chakula na malazi ni juu ya boss Mshahara 200,000 Simu namba 0655944268
0 Reactions
1 Replies
315 Views
Habari zenu..natafuta kazi ya bar AMA liquor store..ama grocery...uzoefu ninao.... #MSICHANA #MIAKA 29 UZOEFU nishawahi fanya katika liquor store.kwa miaka.2...mahesabu nko vzur.pia.uaminifu upo...
0 Reactions
10 Replies
402 Views
Awe bado ni binti ambaye hana mambo mengi na ni Mkristo! Kama atakuwa kamaliza kidato cha nne itapendeza zaidi! Ndio nasema kidato cha nne kwasababu wengi unakuta wako nyumbani hawana issue mwisho...
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Habari Wana jamvi, Hivi mfamasia anauwezo wa kusimamia pharmacy ngapi Kwa kutumia cheti chake, na je majukumu yake ndani ya hiyo pharmacy ni kukaa humohumo na kuuza dawa au ni yapi? Na mfamasia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wazee niliomba connection ya kazi humu miezi kadhaa JF mlinisaidia kwa kiwango chake kwa kurespond na tatizo langu la kazi kiukwel nimeapply sehem mbalimbali bado nasubiri majibu lakini NAOMBENI...
3 Reactions
7 Replies
729 Views
Back
Top Bottom