Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari wapendwa Ivi wanaoripoti ruvu jkt tarehe 27 kuna utaratibu gani nauliza?
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Kwa Wale Marafiki Zangu Wa Tanga Mjini Naomba Tujuzane Mishe za huko. Huku Kwetu Hali Ngumu Naomba Kama Kuna mishe yoyote tujuzane hata Viwandani poa kazi yoyote napiga tu. Hata ya uvuvi 0620769050
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Wakuu, habarini za muda huu! Kwanza niwape pole na majukumu yenu kabla sijaeleza kilichonidubwisha kuandika uzi huu. Hakuna maisha magumu kama kukaa jobless au kuwa na kazi za kubangaiza mtaani...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuna uhitaji wa kupatikana kwa watu wawili. Wote hao, huitajika Songea, katika Pub. 01. Counter Anaweza kuwa wa kike au wakiume. Elimu at least, form 4 na kuendelea. 02. Mhudumu wa Vinywaji...
1 Reactions
0 Replies
434 Views
Ubalozi wa Tanzania nchini Ubelgiji unapenda kuarifu kuhusu uwapo wa fursa za ajira katika Jumuiya ya Nchi za Afrika Karibiani na Pasifiki OACPS yenye makao makuu Brussels Ubeliji ambayo Tanzania...
2 Reactions
0 Replies
403 Views
Salamu wakuu, Kama nitakuwa nimekwenda nje ya mada nawaomba radhi ,mimi ni dereva wa muda sana katika ufanyajikazi wa tipper kubwa (gari za kusafirisha material ya ujenzi) nimefanya kazi...
1 Reactions
6 Replies
898 Views
Habari wadau nimeitwa kwenye usahili/interview katika nafasi ya utendaji wa kijiji daraja la III hivyo naombeni dodoso kidogo mfano wa maswali ambayo tunaweza kuulizwa kule wakati wa Interview...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nipo chini ya Taesa, kwa msiojua utaratibu wao ni kuwa wanakutafutia sehemu ya kufanya internship kwa mkataba wa mwaka mmoja halafu wanakulila 150k...
13 Reactions
52 Replies
7K Views
Ni Kijana Smart Umri wangu miaka 24 Naishi Dar Kimara Elimu yangu ni Bachelor Degree ya linguistics (English & Kiswahili) Pia ujuzi wa Welding ninao mzuri Nina uwezo wa kufanya kazi nyingine...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Habari Wana jf ...naitaji msaada wa kujua vituu vyote muhmu kwa ajili ya kufungua duka la nyama ikiwemo mtaji minimum shngap na mambo yote muhmu changamoto na faida za biashara iii...na location...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba wanajamvi mnipe ufanunuzi huu muda wa interview hapa walipoweka saa 1:00 am je hii saa ngapi? je ni sahihi au wamekosea
0 Reactions
12 Replies
744 Views
"SUPERCHARGE YOUR CAREER WITH OUR PROFESSIONAL CV, RESUME , AND COVER LETTER WRITING SERVICES! [emoji344] Ready to make your mark in the job market? Our skilled team specializes in crafting...
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Nimesomea DIPLOMA ya utawala, je naweza kujiunga kwenye web yao na kuanza kuomba kazi?
1 Reactions
8 Replies
618 Views
The Tanzania Revenue Authority (TRA) is pleased to inform the job applicants who passed the screening test and were selected for practical and oral interviews. The interviews are scheduled to take...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Position: Finance Assistant –USAID “Afya Shirikishi” Project Reporting to: Senior Finance Officer Location: Dar-es-Salaam Duration of Contract: One year renewable Job Objective: Finance Assistant...
2 Reactions
5 Replies
535 Views
...............................
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Position: Program Coordinator Job Details As a Project Coordinator, the Employee is required to perform the following duties and undertake the following responsibilities in a professional manner...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Position: Senior specialist; Revenue Assurance and Governance Job Location: Head Office, HQ Job Purpose: Identify areas of improvement in bancassurance revenues and margins, provide analytics...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Position: Clinical Officer (1 post) Reports To: Project Leader Work Station: Ifakara Position Summary Ifakara Health Institute seeks a qualified and experienced Clinical Officer. The...
1 Reactions
0 Replies
401 Views
Position: Sennebogen Operators (15) WASCO ISOAF Tz is a Tanzania -incorporated company with its head office in Dar e Salaam and its plant in Nzega District, Tabora Region. The Company has been...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Back
Top Bottom