Position: HR Manager
location : Sapphire Complex, Sunbank mabati, Nyerere Road
reports to: General Manager
Role Purpose
The position holder will be responsible to support the Human Resource...
Naomba msaada toka kwa yeyote aliyefanikiwa kujiunga, au anafahamu jinsi ya kujiunga binafsi mfumo haufunguki. Link ya mfumo: https://ess.utumishi.go.tz
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa waliohitimu mafunzo ya
kujenga Taifa (JKT) na Kujenga Uchumi (JKU), waliopo kwenye makambi na nje ya makambi
wenye elimu ya Shahada...
Habari za muda huu JF Family,
Rejea kichwa cha Habari hapo juu,Mimi ni mhitimu wa clinical medicine 2023 natambulika kama clinical officer (co).
Natafuta nafasi ya kujitolea katika kituo...
Kama unafikiri kufanya kazi kwa bidii tu kunatosha.. utashangaa unafeli kila siku kwenye maofisi ogopa sana watu, hata uwe mchapakazi vipi, waelewe watu kwanza ili uweze kufaulu.
Hizi ni baadhi...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, fundi mbobezi wa hizi kazi nipo Daresalama na ninahitaji kazi.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya na kusimamia kazi za serikali, hivyo ubora wa kazi yako ni...
Habari wana jamvi,
Natafuta kazi yoyote ya halali,
Elimu: Bachelor degree (shahada) ya ualimu masomo kiswahili na Geography
Umri: Miaka 28
Eneo nilipo: Dae Es Salaam, Goba
Lugha: kiswahili na...
Habari naomba msaada wa mawazo nimefanya interview ya utumishi ila nilkuwa na presha Kwa sababu ndo interview yangu ya Kwanza ,kwenye karatasi nillizojibia niliandika namba ya usahili ila kwenye...
Habari wana jf nina mdogo wangu amemaliza clinical medicine mwaka Jana na ana matokeo mazuri na anatafuta kazi ya kufanya inayohusiana na alichosoma zanzibar kwa part-time yaani asubuhi anasoma...
Salamu wakuu...
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka26.Naomba nafasi ya ualimu katika shule yoyote ya binafsi(Primary au Secondary).
Nina diploma ya ualimu katika masomo ya Kiingereza na Kiswahili...
Salary Slip Portal
Wizara ya fedha wametoa portal rasmi ya kupata salary slip kwa njia ya mtandao (online) kwa watumishi wa umma
*Taarifa zinazohitajika*
>Check number
>Majina yako matatu...
Mimi nikijana niliehitimu mafunzo yaufundi mekaniks mwaka jana.
Mwaka huu nwezi wapili nikapata kazi nashukuru imenipa uzoefu mzuri sana kwenye masuala yaufundi
Lakini sasahivi ofisi...
Habari Wana Jf.
Tatizo ni nini mfuko wa PSPF kushindwa kutoa kadi za uanachama kwa Wanufaika Watumishi wa Serikali? Natambua Mtumishi ambaye ni ajira mpya anaanza kupokea makato kutoka PSPF...
Wakuu hivi hii course ya social protection mtu anaweza kupata kazi wapi.
Naombeni mnipe muongozo kuanzia serikalini na Kwa private sector ni wapi anapoweza kuajiriwa mtu mwenye degree ya social...
Hello habari zenu humu wadau
Nahitaji connection yeyote ya kazi ni muhitimu wa Diploma ya community development (social studies) Nina experience na kazi na pia nina fani ya computer program zote...
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi...
Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.