Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Position: Project Drivers (2 Posts) (Railway Children Africa) Term: Full Time Reporting To: the Finance Officer. Salary: Annual basic Salary of 7,200,000/- excluding other benefits Location: Dar...
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Habari zeni wakuu, kwa heshima na taadhima nmeona nilete jambo langu hapa. kwa maana katika harakati za msoto wa kila siku nmeona ni vyema kuleta jambo langu aidha naweza kupata idea ama kupata...
6 Reactions
44 Replies
4K Views
Wakuu habari? Naomba kuulizia nawezaje kupata kibali cha kuweza kuomba tena kazi serikalini kwakuwa niliacha kazi kutokana na matatizo je naweza kupata wapi kibali? Kila halmashauri niombayo kazi...
3 Reactions
88 Replies
26K Views
Mwalimu wa bio na chem natafuta kazi ya kufundisha
0 Reactions
1 Replies
450 Views
Wakuu natafuta ni sehemu gani hasa mkoa wa dodoma vijijini ama wa morogoro vijijini niende ambapo nitaweza kupata kazi ndogo ndogo za viwanda vinavyohusiana na kilimo ama mashambani
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Nyumba zilizojengwa na fundi Maiko na zile za Fosi Akaunti.
0 Reactions
5 Replies
599 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Yaani kama umesoma course ambazo ajira zake ni za local Government una bado hujapata ajira ila una kajiofisi Kako umejiajiri na kwa mwezi unaingiza faida...
12 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu Kwa wale ambao tumemaliza chuo 2015-2020 na mpaka Leo hatujaajiriwa serikalini au kwenye private company lakini position nzuri sio vibarua tukutane hapa tuweze kupeana ushauri...
18 Reactions
103 Replies
6K Views
mimi nimesoma bacherol ya Biotechnology and laboratory sciences na miejaribu kuapply kazi kama vile laboratory scientist katika biochemostry au microbilogy na unakuta wanaweka pale kozi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini za leo!ninatumai mko salama. Ninahuitaji wa fedha kiasi cha million mbili(2) za kitanzania ,ninaomba mtu yeyote atakayeguswa aniazime na nitamlipa kwa awamu . Mungu awabariki.
5 Reactions
15 Replies
764 Views
Habari, Napenda ulizia kwa yeyote anayefuatilia hii online learning platform ya EACOP je kuna any information waungwana? MIMI nime complete session ya kwanza, next stage lini?
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini jamani Mimi ni kijana wa miaka 26. Nauliza yoyote mwenye kazi au connection ya kazi za ufundi mechanic. Elimu yangu kidato Cha sita(PCM) na pia Ni NTA LEVEL 4 in mechanical engineering...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Aisee wadau kuna mtu kaniuliza mshahara wa IT hapa Bongo umekaaje na soko likoje kwa mtu aliesoma IT, COMPUTER SCIENCE au COMPUTER ENGINEERING na kozi relevant na hizo.
3 Reactions
12 Replies
1K Views
The Eastern Arc Mountains Conservation Endowment Fund (EAMCEF) is a Trust Fund that was established as a mechanism to provide long-term and reliable funding support for Community Development...
0 Reactions
3 Replies
543 Views
Habari wadau naomba kuuliza agent wa customer care service kwenye betting salary scale yao ni kuanzia ngapi?
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za sa hizi mimi ni msichana miaka 21 elimu form four na nnajua computer kidogo nshawai kufanya kazi kama cashier hotelini,Natafuta kazi yeyote kwa sasa ivi asanteni ukisikia tafadhali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama ilivo mada. Awe anajua kuendesha pikipiki na ana uzoefu katika usimamizi wa makampuni ya ulinzi. Awe tayari kuanza kazi kesho na awe ni mkazi wa Dodoma. My namba ni 0699626644. Usije PM...
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Nahitaji muuzaji wa duka la dawa muhimu. Sehemu ya kazi ni morogoro Kula na kulala juu ya boss Mshahara 150,000 Hadi. 200,000 Mawasiliano. 0685 475595
1 Reactions
4 Replies
884 Views
Tunatafuta wafanyakazi wa kiume Njiro, Arusha. Kazi ya kuhudumia bar yetu ilipo conteina Njiro, vigezo wawe watanashati na mwonekano mzuri. Mshahara kuanzi laki 3.
0 Reactions
8 Replies
771 Views
Back
Top Bottom