Natafuta mc na mzikiwake wa shughuli ndogo tu ya watu 150 kwenye ukumbii kama yupo umu au una ndugu yako ana mziki na ni MC shughuli ni tarehe 2/12 tuwasiliane 0685141035 [emoji1545] ofaa yangu...
Kwa wale mliofanya usaili wa MDA na LGA Januari mwaka huu, matokeo yametoka, ili kuona ya kwako ingia katika akaunti ya ajira portal na angalia kwenye application zako utaona kama upo selected or...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY – PASADIT TANGA
PASADIT is a non-governmental organization operating under the Catholic Diocese of Tanga. PASADIT strives to ensure that the Most Vulnerable and...
Heshima kwenu wakuu
Kijana mtaalam wa kutengeneza na kuandaa kuku choma na kukaanga kuku, broiler, sekela, na Aina zingine za kuku.
Pia mwenye utaalamu mkubwa wa kuandaa na kutengeneza chips...
Habari ndugu zangu
Nina rafiki yangu ni fundi wa kufanya wiring za majumbani na ofisini yuko Dar kwa sasa. Kuna mteja wake alimleta huku alimfanyie wiring kwenye nyumba yake baada ya kuona kazi...
Position: Senior Private Sector Specialist
Job #: req24601
Organization: World Bank
Sector: Private Sector Development
Grade: GG
Term Duration: 4 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment...
TRA wishes to inform all job applicants who applied between May 27, 2023, and June 9, 2023, that interviews are expected to be conducted in various stages starting on September 24, 2023...
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga.
Ajira za TRA kupitia...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyosema, natafuta kazi ya udereva, umri miaka 22, uzoefu miaka 2 leseni class D, elimu kidato cha sita. Iwe udereva binafsi au biashara kwa magari madogo ya mizigo...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ni muhitimu wa stashahada ya LABOUR RELATION AND PUBLIC MANAGEMENT naomba kujua vitu gani vya kuzingatia ambavyo vitanisaidia kuitwa kwenye interview.
Kumetangazwa nafasi za kazi Ubalozi wa Uingereza na DFID.
Japo mshahara wa kuanzia umeandikwa ni TZS. 4. Million ila kiukweli depending on your qualifications na expiriance utavuta hadi...
Wakuu habari zenu, Mimi kama kijana mpambanaji nlikutana na tangazo moja nikaaply kama kawaida. Wale watu wakanijibu kwa email kuwa Kuna interview mbili na ya kwanza ni kujaza Staff assessment...
Habari,
Tunajua kwenye maisha Yetu kila kitu ni Mungum
Hebu Tuambie Mtu unaye mu admire alisababisha wewe upate kazi unayofanya au uliyowahi kufanya kupata maisha.
Mimi nilikuwa kitaa kuna...
Habari wakuu anahitajika mtu wa mauzo anayeweza kuendesha guta mpya kabisa na piki piki wa kutafuta wateja na kusambaza bidhaa za vyakula ikiwemo brand ya unga wa sembe inayojulikana Mtwara (gas...
Hello guys.
Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi:
1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa.
2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii.
Eneo ni Dar es salaam-...
Kuna agenda sjui maelekezo sikuiz ajira zimekuwa ni lazma wanawake waajiriwe weng kuliko wanaume hata kama huko kwenye kaz sio watendaji wazur had kaz ngumu madem wanapewa sana ajira yan imefikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.