Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Ndg wanajamii wenzangu naleta maombi kweni yeyote mwenye taarifa sehemu kuna nafasi kazi za dereva naomba anijuze tafadhali.Nna grade ONE na Two ya driving kutoka NIT pia elimu ya computer kutoka...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Hivi tume ya utumishi wa umma ikishapokea kesi za kiutumishi huwa inachukua muda gani mpaka kutoa hukumu?... mwenye uelewa
1 Reactions
1 Replies
627 Views
Hivi hawa utumishi wapo serious kweli? Hivi wanajua maelfu na mamia ya wasaka ajira wanakwama kiasi gani kutokana na huu mfumo wao wa hovyo? hivi watu wateseke kupata elimu kuanzia darasa la...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari mimi ni dereva natafuta gari ya mkataba ili nijiajiri Ahsante, 0689296294
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Habari Wana jamvi, It's urgent, anahitajika mwalimu wa chemistry mwenye uwezo wa kufundisha A level. Location ni BANANA UKONGA DAR ES SALAAM. Aliye tayari nitumie namba inbox.
2 Reactions
4 Replies
605 Views
Hello! Natafuta Bajaji ya kufanyia kazi. Nipo tayari kwa mkataba au kawaida kuleta hesabu. Nina uzoefu pamoja na uaminifu wa hali juu. ~ Nina Leseni na kitambulisho cha taifa (NIDA) ~ Namba...
1 Reactions
102 Replies
5K Views
Kuna rafiki yangu ni muhamga alifanya interview Dar ya kuandika then akafaulu akaenda dodoma kufanya mahojiano. Toka mwanzoni mwa mwaka mpaka sasa matokeo hayajatoka ya kupangiwa vituo vya kazi...
3 Reactions
2 Replies
781 Views
1. Awe Mtanzania kwenye kitambulisho cha NIDA 2. Awe na leseni ya udereva 3. Aje na mashaidi wawili Atume CV yake kwenye email @pdozen74@gmail.com
1 Reactions
6 Replies
890 Views
Ndio maana hata wakiwa kazini hawafanyi kazi kwa bidii muda wao mwingi wanatumia kuwaza kubebwa hata wakiharibu kazi. Wakiharibu kazi hawaogopi maana wanajua watabebwa.
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mtumishi wa ummah ajira za 2022. Mpaka sasa tumeshafikisha mwaka kazini na bado hatujapewa barua za kuthibitishwa. Kuna fursa nyingi zinatokea ila barua ukifatilia unaambiwa bado msubiri...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zanguni naulizia Waliofanya interview za CDOs lini majibu?
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Tamisemi wamesema wanatarajia kuajiri watumishi wa afya ngazi ya jamii siku sio nyingi... Wenye vigezo tunzeni nyeti... Lakini pia hii ni dalili nzuri kwa watumishi wengine wote wa afya ajira...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mimi nimhitimu wa Diploma NTA level 5 katika chuo cha TIA Mbeya kada ya manunuzi na ugavi. Kama ilivyo siku hivi kazi zimekuwa adimu sana, kazi pekee zinazopatikana na zinatanganzwa...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana JF Naomba kujua kuhusu hizi Interview zinazoendelea na ambazo zimekwisha fanyika za Written kuna mwenye taarifa majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usahili wa Mahojiano...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
Kwa wale ambao mulishawahi fanya interview za Amref Africa pale makaomakuu Dar wanaeleweka au wanna undugulazation na connection Kama haya mashirika mengine.
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa...
19 Reactions
937 Replies
51K Views
Position: Human Resources Specialist Location: Dar es Salaam, Tanzania Reports to: Country HR Manager Level: 14 Role Purpose The position holder will be responsible to support the Country HR...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
Natafuta kazi au internship Education: Bachelor degree of science in production and operations management. Expirience; I have worked in quality control and production supervising job, i can handle...
1 Reactions
10 Replies
610 Views
Ni HR wa halmashauri ya mabada songea anaomba ahamie dar na aim yake kwenye taasisi yoyote ya serikali Amefanya kazi Uko alipo miaka minne msaada ndugu zangu Kama una connection yoyote Naomba...
2 Reactions
55 Replies
3K Views
Position: Project Coordinator Location: Katavi Reports to: Project Manager Level: 13 role purpose This role will coordinate the planning and implementation of VUMA project activities in...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Back
Top Bottom