Position: ICT Specialist
Duty Station: MoH Centre for Distance Education (CDE) with frequent travels at the Centre of Excellence in Health Monitoring and Evaluation at Mzumbe University, Morogoro...
Position: Monitoring And Evaluation Advisor
Reports to: Senior Technical Lead
Duties and Responsibilities:
Design and implement the Project’s Evaluation and Performance Measurement Plan (EPMP)...
Habari. Mimi ni dereva wa bajaji. Nina leseni ya udereva
Nipo Dar es Salaam.
Ninahitaji Bajaji ya mkataba. Kwa mwenye bajaji tuwasiliane kwa ajili ya maelewano.
Asanteni!
Enyi mnaosaka vibarua ndani ya JIJI la DAR, nendeni mkaombe vibarua hapo kwenye Jengo la Freemason Dar es salaam.
wanafanya maboresho ya Jengo zima kuanzia Ground Floor mpaka Paa.
Huwezi Jua...
Digital Marketing Executive job description
We are looking for an experienced and result-driven Digital Marketing Executive to join our awesome marketing team!
We are expecting you to have...
Familia ya Dar es Salaam yenye kuthamini utu inatafuta mfanyakazi wa ndani wa kike mwenyewe umri mwisho miaka 22 kwaajili ya kazi za ndani.
Mfanyakazi ataishi vizuri na dada mwenye nyumba kwani...
Find potential clients, negotiate and close the deal
Maintain customer relationships, track sales data, and create daily/weekly reports.
Research and analyse market trends, competitor offerings...
Mimi ni mama wa familia Nina watoto wawili nimeolewa natafuta kazi yoyote ila nipo GEITA mjini Nina miaka29 nisaidie tadhali mwenye connection namba yanu ni 0622575581 kwa ajili ya kazi tu elimu...
Habari wana JF,
Naiman, tu wazima wa afya. Naitwa Saimoko, niko Njombe. Mimi ni middle man (dalali) wa mazao.
Uhitaji wa middle man ni muhimu sana kwa wafanyabiashara, kwa sababu sio wote...
Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji.
Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na...
Kuna kikazi cha siku 1 au 2 kwa mtu wa jinsi yoyote ambaye yuko Mtwara. Mtu ambaye yuko sharp, smart na anajiamini na mwenye uelewa wa mambo.
Anicheki DM fasta na namba yake ya simu. Lazima uwe...
Habari za wakati huu wakuu..?
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi...
Nimesikia tetesi kuwa vibali vimetoka lakini mkeka haujawekwa hadharani, sasa tamisemi hawaoni hii itatengeneza mwanya wa mabosi wa Halmashauri kuficha barua na kuwanyima watu haki zao...
Jaman kama Kuna mtu ana shamba au eneo lenye nyumba au mabanda maeneo ya Kibaha, Mlandizi au sehemu yoyote karbu na Dar na anahitaji mtu wa kukaa au mlinzi naomba anisaidie lengo langu nataka...
Una kuta mtu ktk program aliyosemea ndani yake kuna courses za profession fulan lkn kama utumishi ktk education qualification wakisema wanataka B.A Y basi ni Y tu
Huu.mfumo ni wa kuutazama...
Habari,
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na hawa jamaa wa mradi wa bomba la mafuta la TAZAMA (TANZANIA ZAMBIA MAFUTA)
Hivi wanalipaje kwa nafasi ya ulinzi?
Mana nimeona wametangaza nafasi na...
Wakuu,
Naamini mko salama kabsa.
Naomba kuuliza, mkopo kwa watumishi wa serikali kutoka hazina kuu huwa unapatikanaje na mtumishi afanye nini kuupata?
Nimesikia baadhi ya watumishi wakiwa...
Habari wanajamvi
Nimefuatilia placements nyingi za kazi lakini kuna jambo nimegundua unakuta wakati tangazo la kazi linatoka serikalini labda linahitaji watu 20 lakini watakaoajiriwa ni 12 tu...
Position: Quality Assurance Manager
Our client is a registered Tanzanian Company under Companies Ordinance (Cap. 212) and a leading hospitality Company with Operations in Arusha, Meatu-Simiyu...
Kwa Majina Naitwa Musa Augustino Lweve, ni dereva wa magari Manual pia na Automátic. Lengo la kuleta mada kwenu ni kusaidiana.
Nilikuwa naomba mwenye connection ya kusafirisha gari kwenda nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.