Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habarini wakuu. Nimekuwa nikija humu kuomba hizi nafasi za kujitolea upande Wa IT. wakuu natamani niwe expert Wa computers networking installation and configuration lakini bado sijapata nafasi...
2 Reactions
10 Replies
323 Views
Habari za mchana? Nilikuwa napenda kufahamu kwa ujumla mazingira ya wilaya ya butiama kwa mtu anayeenda kuanza kazi katika wilaya hiyo. Kwenye upande wa mazingira na tamaduni za huko butiama ...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Habari wana Jamii.. Naomba kupata uelewa kwenye hili . Ikiwa umeshaajiriwa na unataka kuomba ajira Tena serikalini, wanaposema upitishe barua yako kwa mwajiri wako wa sasa . 1.Je ispofanyika hivo...
2 Reactions
17 Replies
636 Views
Milio ni Mingi Wakuu! Hapa Moja haisomi Mbili haikai. Yàani nimevurugwa kishenzi. Harusi yàngu ni Mwezi huu. Alhamdulullah Watu wamechangachanga na tumefikia Asilimia 90% ya michango. Hapa bado...
14 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari wakuu, Baada ya kuleta uzi WA kuuza nyumba hapa Na wengi wenu kunishauri nisiuze kiufupi nimepokea ushauri wenu ndugu zangu. Ombi langu ni hili kwenu naomba MTU yeyote mwenye Gari ambayo...
6 Reactions
30 Replies
932 Views
Msaada kuusu interview ya airport operation officer kuusu maswali yanayoweza kuulizwa
0 Reactions
2 Replies
234 Views
Kwenu wakuu habari zenu Mimi kijana wa miaka 25 Elimu form six Nahitaji msaada wa kupata pikipiki ya mkataba kwa ajili ya kazi ya boda boda kijiwe changu kitakuwa kariakoo Uaminifu ni mkubwa...
8 Reactions
17 Replies
391 Views
viwango vya mshahara vya TNPSS B ndio vikoje najaribu kutafuta naona zingine zingine! Mzoefu anisaidie
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini.......anaejua mshahara wa Posta...Tpcss1 tafadhali
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwema job seekers wenzangu? Kuna mchina kani-check somewhere, kaniambia nimtumie CV yangu kuna kazi za sales zinahitaji watu, nimemtumia cv yangu fresh,In return akanitumia job description ya...
6 Reactions
66 Replies
9K Views
Naomba kuuliza 1.Wanaposema temporarily employment wanamaanisha ni kazi za mkataba wa muda gani? Na je baada ya mkataba kuisha kuna possibility ya kuongezewa mkataba au ndo shughuli yako inakua...
3 Reactions
7 Replies
485 Views
Kwa miongo kadhaa, kupata MBA kutoka Ivy League imekuwa ikichukuliwa kama tiketi ya dhahabu kwa ajira popote. Kulingana na Fortune, MBA ya Harvard inachukuliwa kuwa bora zaidi, ikishika nafasi ya...
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Bright and Genius Editors P.O. Box 3456, Dar es Salaam Phone: 0687746471 Email...
11 Reactions
83 Replies
11K Views
Gdence Auto Spare Parts and Service ni kampuni inayo jihusisha na uuzaji wa vipuli vya magari kutoka German na urekebishaji (Service) ya magari hayo. Ofisi zetu ziko Dar es salaam maeneo ya Sinza...
3 Reactions
6 Replies
284 Views
Nimefanya kazi kwenye NGO kwa miaka 8 mpaka mradi wangu wa mwisho ulivyofika tamati. Maisha yangu ni ya kujichanganya na watu wote kwa sababu sijawai kujiona special kwa lolote nafanya kazi...
31 Reactions
68 Replies
2K Views
📢 BRIGHT AND GENIUS EDITORS ANNOUNCEMENT 📢 TUNAANDIKA NA KUHARIRI DOCUMENTS ZIFUATAZO: 👉1. Business Proposal/Plan 💼, 👉2. Katiba za Vikundi 📜, 👉3. Cover Letter na CV/Resume 📄, 👉4. Website...
1 Reactions
4 Replies
184 Views
MWF TANZANIA We are seeking the services of a cyber security expert in Dar es salaam, see below and apply if you are suited for the role. Role Purpose The role holder will be primarily...
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Kama kuna mtu anahitaji dereva wa kukodi kwa trip au safari basi naomba anijulishe..ni udereva wa muda trip tu naamnisha ukiwa umechoka au unahitaji kuenda sehemu yoyote ila unahitaji kusaidiwa...
4 Reactions
13 Replies
281 Views
Hello Ni Binti miaka 24 natafuta kazi ya sales au hata viwandani ku-oparate Nipo Dar
4 Reactions
14 Replies
400 Views
Back
Top Bottom