Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu wanajamvi, Naungana nanyi wote mlioko Tanzania kwa msiba wa kijana mwenzetu Ruge..! Hakika kazi yake ya hapa duniani ameimaliza na mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Pia naona...
11 Reactions
134 Replies
23K Views
Nina elimu kidato cha nne,nilifaulu vizuri sana, nikakosa hela za kuendelea A level,nahitaji ajira ya kudumu au ya muda katika moja ya mashirika hayo, nina uwezo wa kuongea ktk mikutano na...
3 Reactions
11 Replies
422 Views
Habari wakuu naulizia wataalamu wakudisgn na kutengeneza garden za kibiashara na sehemu zakuchezea watoto
1 Reactions
1 Replies
114 Views
We are a building material company supplying high quality building materials Role Description This is a contract hybrid role for a Sales Associate . The Sales Associate will be responsible for...
2 Reactions
0 Replies
143 Views
Wakuu kwa mwenye uzoefu au ufahamu kuhusu writen interview ya bot kwa kada ya Bank officer III atusaidie walau tujue kwa kuanzia
-2 Reactions
9 Replies
730 Views
Idara ya Uhamiaji Tanzania imetangaza majina ya vijana 331 waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya idara hiyo kuanzia Machi 1, 2025. Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo hayo limetolewa leo Alhamisi...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb.Na.JA.9/259/01/A/83 28 Mei, 2022 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari, nina degree ya housing and Infrastructure planning (Mipango miji) nimemaliza chuo kikuu Ardhi mwaka 2023 nipo Dar es Salaam. Natafuta nafasi ya kazi au hata ya kujitolea hata kwenye...
2 Reactions
1 Replies
304 Views
Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Natafuta Mpishi Wa Vitafunio. Awe anaweza kupika Chapati Kuanzia Kilo 10. Kazi katika Mgahawa ambao upo Dar es Salaam, Maeneo ya Bomba Mbili, Njia ya kutoka Mombasa, Ukonga. Pia mahitaji Mpishi...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Mfano kwa leo nimeona kuna tangazo la ajira TRA. Ni wao wenyewe wanasimamia zoezi, maombi yanatumwa kwao Wasio na connection wanatoboa hapa ? Boss yupo tayari kumpa ajira mtu asiemjua wakati...
1 Reactions
1 Replies
358 Views
Habari zenu? Mimi ni kijana wa kitanzania (me) natafuta kazi kwenye makampuni ya usafirishaji, Bandarini na Taasisi yoyote Simu 0742548727
1 Reactions
4 Replies
225 Views
Habari ndugu zangu, naomba kujua kama humu ndani Kuna mtu anafanya kazi au unajuana na mfanyakazi wa MICHAMVI SUNSET BAY HOTEL. Kama yupo namba tuwasiliane DM maana nahitaji kupata fursa ya...
0 Reactions
2 Replies
154 Views
Nauliza kwa ambae amewai fanya usahili Gaming board Tanzania, written yao ni multiple choice au kuandika yaan maelezo mengi mengi au kwa mwenye idea huwa zinakuaje?
0 Reactions
10 Replies
657 Views
Kodi gari lenye uhakika na Rhond's company limited linalofaa kwa mahitaji yako yote ya kusafiri. 📅 Yanapatikana sasa – weka oda mapema uhakikishe tarehe zako! ✅ Bei nafuu ✅ Magari masafi na...
1 Reactions
8 Replies
215 Views
Wakubwa habarii za muda huu? Hii interview ya Uhamiaji ndio ya kwanza katika maisha yangu maan nimebahatika kuitwa kwa fani ya umeme (electrical engineering) ngazi ya diploma . Kwa hapa mwenye...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa majina naitwa Alfred Baraka Rugoye, mwanafunzi wa mwaka wa mwisho katika shahada ya Sayansi ya Kompyuta. Nimejikita zaidi katika uchakataji na uchanganuzi wa data, ujifunzaji wa mashine...
6 Reactions
18 Replies
416 Views
Wakuu habari, naomba kuuliza je usaili wa kujiunga jeshi la magereza na uhamiaji 2024 tayari au kuna ambayo wameshaanza kuitwa?
3 Reactions
470 Replies
52K Views
Wakuu, humu kuna mtu amewahi kufanya intership NIDA au kujitolea?? Nimeuliza kujua kuhusu hawa jamaa Jee mtu anayejitolea au kufanya intership nida analipwa chochote au hata posho???
0 Reactions
13 Replies
463 Views
Habari zenu, Kama unatafuta kazi kwenye hizi NGO's ziwe za Local au International kuna usanii mkubwa sana kwenye kuajili au kwenye ajira zao. Yani wanajifanya wanatangaza kazi na kuita watu...
91 Reactions
425 Replies
90K Views
Back
Top Bottom