Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habarini wana jukwaa, Tafadhalini naomba kazi niweze kujimudu na kumudu familia kiuchumi. Hali ni tete naelekea kukata tamaa. Ni kijana wa miaka 32.. ni mwepesi wa kazi na pia nakuwa mwepesi...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimehitimu 2021 kazi ya ualimu kwa yeyote mwenye connection za shule (chemistry & biology) Pia hata primary nafundisha Nicheki kwa namba 0743303233 >Bachelor of science in chemistry and...
9 Reactions
40 Replies
4K Views
Habari za mchana, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja. Mimi nilihitimu chuo kimoja maarufu hapa nchini mwaka 2015. Tangu mwaka 2015 nlikuwa naishia tu kupata viajira vya kubangaiza bangaiza...
7 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarii ndugu zangu Watanzania,Mimi ni mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii (ordinary diploma in civil engineering) kutoka chuo Cha ufundi Arusha mwaka 2020.Natafuta kazi kwenye sekta...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Age 25, mkazi wa kigamboni. On serious note natafuta kazi za jioni / night shift. Mwenye connection au idea ya sehemu kind naombeni connection ya Kazi. Huku uraiani sio poa mambo ni tight kinoma...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nauliza kupata uzoefu kuhusu usaili wa maandishi/ kuandika/ written test wa mashirika yanayo hudumia wakimbizi. Kuna dogo kaitwa akafanye interview shirika moja hivi. Tumsaidie...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Huu uzi ni muhimu kwa wale wote wenye viashiria vya kuja kuwa mjasiriamali na anayejisimamia mwenyewe kwenye biashara zake. Wapo watu wanaishi katika mazingira magumu sana ingawa bado wapo kwenye...
7 Reactions
4 Replies
846 Views
WanaJF nakuja kwenu kuomba kazi ya Ualimu wa Kingereza. Iwe msingi au sekondari popote naweza kufundisha. Nimemaliza UDSM pale na nina Upper Second (3.8). Pia nina uzoefu wa kufundisha zaidi ya...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Mimi nikijana mwenye mika 28 ninaishi mkoa wa Tanga nimehitimu chuo mwaka 2021. Kwa sasa nimejitolea katika hospitali ya wilaya. Natafuta kazi mkoa wowote na wilaya yoyote. Kwamawasiliano na...
1 Reactions
8 Replies
953 Views
Samahani nirudi kwenu niliwahi kuandika humu kuhusu kuomba kazi au volunteer ila sikufanikiwa kupata, narudi kwenu kuomba msaada maana mtaani kugumu. Mimi ni graduate mwaka huu, nipo Kanda ya...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Habrini ndgu zangu wana JF mwenzenu naomba kuuliza hivi ni kipi chenye michongo mitaani kati ya master au undergraduate degree? Tujaribu kushare idea kama vijana ili tusijekupoteza muda wa kusoma...
7 Reactions
88 Replies
4K Views
Kwanza napenda kuipongeza sekretarieti ya ajira kwa kuwasaidia vijana ( watoto wa wakulima ) kupata ajira serikalini sababu bila ya nyinyi hali ingekua ngumu sana kwa sisi walalahoi kupata ajira...
0 Reactions
31 Replies
14K Views
STATUS: JOB SEEKER EDUCATION: BACHELOR OF ARTS IN HUMAN RESOURCE MANAGEMENT. LOCATION: DAR ES SALAAM SEX:MALE EXPERIENCE: ONE YEAR IN SALES AND MARKETING
1 Reactions
2 Replies
368 Views
Wakuu samahani, naomba msaada namba ya kuomba kibali Cha kuhamia kufanya kazi vyuo vikuu, kutoka kwenye shule ya sekondari (halmashauri). Ikiwezekana na sanduku la posta ni lipi.
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Nina Ordinary Diploma ya Famasi sasa najaribu kuingiza taarifa zangu kwenye Ajira Portal hasa Education level ila siioni option ya Ordinary Diploma(Level 6) nimeona Advanced diploma na Higer...
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Natafuta kazi za 1; Kutunza garden 2; Kukata nyasi za garden Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye kazi za garden Nipo Dar Mtoni kijichi 0715271246
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF wote; Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na...
1 Reactions
4 Replies
586 Views
Yaani inakuja nafasi za ajira haswa Non Government Organization, qualifications wanataka 4 years working Experience! It means wanatamani kuendelea kuajiri wazee?
1 Reactions
2 Replies
408 Views
Hizi ndio sehemu ambazo kwasasa zinafursa za ajira kwa mafundi kujenga, umeme, Rangi nk 1. KIGAMBONI, Maeneo mengi ya Kigamboni kwa Sasa yanaendelea na ujunzi wa nyumba, shule, na majengo...
3 Reactions
2 Replies
522 Views
Natumaini nyote ni wazima wa afya njema. Natafuta kazi ya aina yoyote, ambayo itaweza nipatia kipato ambacho kitanisaidia kupata walau chakula na malazi. Ndani na nje ya Dar es Salaam. Taarifa...
1 Reactions
0 Replies
750 Views
Back
Top Bottom