Habari ndugu,
Nahitaji mwalimu wa Mathematics Class V, VI and VII.
Pia nahitaji mwalimu wa Class one jinsia ya kike
Kama yupo tuwasiliane
ADDRESS
Physical: Banana-Kitunda Dar es salaam
Postal...
Unajua vijana hamjitumi kijana una degree unaomba kazi ya hovyo. Ningekusaidia ila ujanifata PM (mtu anaesaidia hana manyanyaso)....ndio maneno yao kila siku na kwa kila mtu.
Guys Ili ni jukwaa...
Habari za muda huu ndugu zangu wa kurasa yetu pendwa,Natumai mko na afya tele na poleni kwa majukumu ya kila siku ya kujitafutia kipato.
Lengo la kuandika ujumbe huu ni kwamba niko na cheti cha...
Hello kwema?
Natafuta Nurse/Medical Assistant awe amekamilika vyeti vya taaluma husika.
Eneo la kazi ni Mbezi mwisho barabara ya kuelekea Kinyerezi Dar es Salaam.
Awe tayari kufanya kazi shift...
Habari zenu wakuu baada ya miaka mingi ya elimu sasa umefika wakati wa mimi hapa kijana wenu kupanda jukwaani kwa ajili ya kuomba connection pamoja na kazi ikiwezekana
Nimemaliza mwezi huu katika...
Nafanya kazi za wiring nzuri kwa bei ya kawaida tu ya Mtanzania, naenda popote pale kikubwa maelewano. Nina uzoefu wa wiring na pia sidharau kazi kama una kifaa chochote cha umeme unaitaji...
Kama bango linavyo jieleza wakuu.
Nimeshachukua ma ushauri kibao nimeyafanyia kazi lakini wapi,utasikia CV yako andika hivi , nenda kwenye kampuni X kapeleke CV , nakutumia tangazo la kazi u...
Hello,
I hope this message finds you well. I am reaching out to you to share an exciting internship opportunity available at our organization.
We would greatly appreciate it if you could kindly...
Salaam ndugu wana JF,
Bila kuwachosha, nataka kuomba kazi ya kufundisha Chuo kikuu kama Assistant Lecturer katika masomo ya sayansi. Kiukweli uzoefu wa teaching, research na consultance kama...
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “The supply of maize to The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their...
Habari zenu wakuu , kitaaluma mim ni mwandishi wa habari naomba mwenye kazi jamani kwasasa nipo tayari kufanya kazi yeyote ile ,iwe usafi ,carwash ,dukani kikubwa iwe ya kwenda na kurudi ...
Habari Wanajamii Wenzangu.
Naitwa Sanga natafuta kazi yeyote halari ya kuniingizia kipato. Elimu yangu ni Chuo kikuu ngazi ya bachelor degree in Economics and international Trade.
Nina uzohefu...
I have a Certificate in Sales and Marketing and over six years of experience in Sales based on Fast moving consumer goods, I am confident in my ability to make a significant impact in sales and...
We are seeking a highly motivated Sales Representative to lead our wholesale expansion efforts. As a Sales Representative for wholesale sales, you will be responsible for identifying potential...
Habari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari.
Kwa sasa fani yangu...
Wakubwa I hope mko powa! Nilikuw na uliza Kwa wale wenye enough understanding na maswali ya information technology ni field ipi inauhitaji mkubwa tanzania Kati ya hizi
1.networking
2.database...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.