Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Hello, Natafuta watu wenye uzoefu wa kazi hizi. -Marketing. -Sales Wakiwa jiji la Mwanza watapata kipaumbele. Tuma cv yako. Only shortlisted candidates will be contacted.
0 Reactions
5 Replies
685 Views
Sawa na mada hapo juu. Awe na cheti cha ADO Awe mwanamke (20-35yrs) Location: Songea- Madaba Nichek kwa namba 0787756787
0 Reactions
4 Replies
418 Views
Mimi Nina Bajaji RE 250 Nimeinunua Mwezi Wa 3 ipo Arusha, Kazi Zangu Nyingi Zinanifanya Nisiwepo Arusha Hivyo Usimamizi Unakua Mdogo Na Madereva Wakishajua Haupo Wansumbua kutoa Hesabu Ya Day...
1 Reactions
1 Replies
507 Views
'Peking Healthcare’ A newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers a quality health service is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries...
0 Reactions
0 Replies
490 Views
a maelekezo mpigieni huyo jamaa atawaelekeza coz it's one of those wanaofanyisha interview 0752153535 All the best for all job seekers. Kindly share for others too.
2 Reactions
7 Replies
874 Views
Je, unahitaji kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wako? Nikaribishe nikuhudumie. Fani: Mwalim (Bachelor of education in science) Masomo ya kufundishia: Biology & Geography. Chuo: Mwenge Catholic...
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Sifa za mwombaji 1. Kijana anayejituma 2. Anayejua kuandika na kusoma 3. Mkazi wa kigamboni 4. Atakayeweza kufanya kazi kwa siku sita za wiki 5. Mwenye mdhamini aliyemkazi wa kigamboni na awe na...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Greetings: Guys, ni vitu gani muhimu vinatakiwa kwenye cover letter?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni kozi ipi ya uinjinia ina soko zaidi Tanzania?
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Anahitajika mtaalamu aliyesomea medical laboratory assistant/technician. Kwa mawasiliano zaidi piga 0745225561
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Habari ndugu zangu, natafuta kazi au kibarua chochote halali ili niweze kujikimu kimaisha. Kwa mwenye connection ya kazi au kibarua hasa maeneo ya Ifakara tafadhali naomba aniunganishe.
2 Reactions
25 Replies
2K Views
EMPLOYMENT OPPORTUNIES AT LODHIA GROUP OF COMPANIES Lodhia Industries is one of the leading and fastest growing steel & plastic manufacturers inTanzania and is currently operating out of two...
2 Reactions
0 Replies
788 Views
Naomba kuuliza utumishi wanaweza kukuplace kama ulikuwa data base Katika nafasi nyingine inayoendana na kada yako, je ishawahi mtokea mtu na huchukua muda gani?? Utajuaje?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nakuja tena kwa mara nyingine kuomba nishikwe mkono. Natafuta ajira kwa muda mrefu nilishakuja hata hapa JF kuomba kushikwa mkono lakini sikufanikiwa. Jitihada hazishindi kudra, nimepambana sana...
15 Reactions
73 Replies
4K Views
Naitaji mtu anayeweza kupika chakula cha Kichina. Awe anajua kuongea Kingereza/Kichina vizuri zaidi. Kazi ni ya kukaa hapo hapo. Nyumba ipo. Naitaji mtu aliye na uhitaji (serious) Mawasiliano 0745...
1 Reactions
5 Replies
534 Views
Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS. Mwalimu...
1 Reactions
6 Replies
904 Views
Mimi ni mjasiriamali mdogo ninatengeneza chama za watoto (jamii ya popcorn kwa kizungu corn puffs). Pakti ziko designed kuuzwa sh 200 Moja kwa muuzaji wa mwisho, wewe kama wakala nitakuuzia...
2 Reactions
6 Replies
609 Views
Anahitajika mtaalamu wa kuandika proposal kwenye entertainmnet business. Pm hapa tuanzie hapa platform kubwa hii Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
2 Reactions
0 Replies
381 Views
Anahitajika Accountant VIGEZO -Uwe na degree or diploma kwenye accountant -Uwe mkazi wa Tanga Tuma Cv yako WhatsApp 0752965879(usipige sim)
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza Kama Kuna kazi hata ya 250,000 niunganishe nipate riziki Sikuhizi uhakika wa maisha upoje katika masuala ya kazi na Ajira maana maana nashangaa mpaka mtu uwe na uhakika kabisa wa kuwa...
3 Reactions
6 Replies
627 Views
Back
Top Bottom