Mimi ni kijana wa miaka 20 nimehitimu chuo taaluma ya uwalimu ninasubiri ajira kwa sasa natafuta kazi ya kufanya Pia nina ujuzi katika computer operations.
Kazi sio lazima iwe ya kufundisha...
Wana JF kwema?
Straight to the point, najua JF is the home of great thinkers na inajumuisha watu mbalimbali wenye uelewa katika mambo mengi hivo Uzi wangu upo mahali sahihi kabisa, naomba ushauri...
Habari wanaJF,
Naomba kujua utofauti wa kazi au majukumu ya afisa mipango(Planning officer) na mchumi kwenye maeneo mbalimbali ya halmashauri au taasisi mbalimbali za serikali.
Anayefahamu...
Position: Senior Specialist; Enterprise Architect (2 Posts)
Location: Head Office, HQ
Purpose: Leading the practice and introducing the overall technical vision for solutions that are intended to...
Kwa sasa swala la ajira tz limekuwa ni bahati na sibu kama kubeti yan unaweza kuwana na uzoefu na sifa zote mpaka za ziada na ukakosa kazi.
Ebu fikiria kuna watu wamepata ajira hata ukiwaita...
Habari nimeamua kuadika uzi huu kwa lengo la kusaidiana hasa kwa wale pata shida kwa kukosa ajira na kuishi kulimbikiza stress kichwa na wakti mwingine kufikia kujiwazia mabaya katika maisha yao...
Position: Liquidity Risk Analyst
Location: Head Office
Purpose: To assist the Head; Market Risk to effectively assess and report on the Bank's liquidity risk.
Main Responsibilities
Develop and...
Habari wana jamvi,
Mimi ni mwanaume single baba, ninatafuta msichana wa kunisaidia kazi nyumbani kwangu, mimi natoka asubuhi na ninarudi usiku, watoto wapo wawili niwadogo sana, ninaishi king’azi...
Position: Environmental and Social Management Systems (ESMS) Officer
Supervisor: Head of Monitoring, Evaluation and Learning
Duty Station: Unguja, Zanzibar, Tanzania.
Start Date: As soon as...
Position: Senior Network Specialist (CORE)
Location: Head Office, HQ
Purpose: Plan, organize and deliver cost effective, efficient, and highly available Core network infrastructure services that...
1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu...
Habar zenu wadau, mimi ni kijana wakiume elimu yangu ni diploma ya ualimu wa secondary history and geography.
Natafuta ajira yoyote ile kwa malipo yoyote yale, nipo arusha.
Umri: 38 years
Elimu: Kidato cha sita na computer course.
Uzoefu: Ualimu wa computer na kazi ya Patron shule ya sekondari.
Uwezo: kufundisha computer, kiingereza na kazi za malezi kwa vijana...
Mimi ni kijana, nakuja kwenu wanajamii, natafuta kazi ya ualimu na nje ya ualimu mahali popote.
Nina uzoefu katika kufundisha( nimefundisha tuition muda mrefu), kilimo hasa cha bustani na...
Naitwa martine niko Moshi miaka 20 elimu certificate ya Irrigation Engineer, natafuta kazi naongea lugha 4 Spanish, English, Kiswahili na Kichaga. Hata ukondokta mabus ya mkoani.
Habariii wakuu?
Husika na kichwa hapo juu natafuta kazii katika makampuni yeyote ya ujenzii wa nyumba au barabara nipo tayari kufanya kazi sehemu yeyote.
Mimi ni mhitimu wa stashahada ya...
Habar wakubwa kwa Wadogo,
Mimi hapa mbele yenu n mkandarasi (Registered Contractor) upande wa Umeme na Mechanical (Mitambo).
Nimekuwa Registered mwaka jana. Kabla ya kuwa Mkandarasi nilikuwa...
Waungwana mpo, habari za majukumu!
Niende kwenye mada husika. Mimi nilikuwa nafanya kazi sekta binafsi kwa muda wa miaka mitatu, nikaacha. Baada ya muda wa miezi miwili nikaanza kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.