Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Job Advertisement: General Manager at Rendo Tanzania Limited Company Overview: Rendo Tanzania Limited is a newly established and dynamic distribution company specializing in the distribution of a...
0 Reactions
0 Replies
389 Views
As a Retail Shop Manager at Komonoya, you will be responsible for overseeing the daily operations of our retail shops in Dar es Salaam. Your primary focus will be on providing excellent customer...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Umri: 26 Jinsi: Me Elimu: Shahada ya Ualimu (Chem na Bio) Matumizi ya computer (Microsoft office package basics) Na uzoefu wa uwakala wa huduma za kifedha pia. Nipo tayari kujifunza kazi yoyote pia.
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Nimepita huku na kule naona kwenye bajeti 2023/2024 hakuna nyongeza bali matumizi mengineyo yasiyo ya mshahara hii inamaana hakuna nyongeza mwaka huu.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini ndugu, jamaa na marafiki. Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya. Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au...
0 Reactions
3 Replies
447 Views
Habari za muda huu nawapea pole na changamoto za hapa na pale wana JF wenzangu. Ndugu zangu mimi nimekuja na UZI huu kwa lengo la kupata ushauri. Nilikimbia nyumbani nikaenda Lindi, wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Habari wakuu, mimi ni mwanaume ninayehitaji msaada wenu, mambo yamekwama na hayaendi kabisa. Nimejaribu kupita huko na huko lakini bado sijafanikiwa, mdau yoyote atayeweza nisaidia nipate mahali...
0 Reactions
4 Replies
591 Views
Habari ndugu zangu. Kumekua na hisia tofauti juu ya kutokowepo kwa nyongeza ya mishahara. Je bajeti ya mwaka huu ilionyesha mchanganuo wa INCREMENT
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Mimi ni mwalimu wa masomo ya Biology na Agricultural Science. Jinsia yangu ni F. Nina Bachelor of Science with Education in Agricultural Science and Biology kutoa Sokoine University of...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari. Kwanini serikali ya Tanzania kupitia wizara ya afya na wizara ya TAMISEMI wameweza kupitisha muongozo wa ajira za kujitolea katika hospitali za mikoa na wilaya na zikitaka Hospitali hizo...
1 Reactions
5 Replies
775 Views
Hello, Habari, Natafuta kazi ambayo ninaweza kuifanya kwa malipo yeyote kadri ambavyo tutakubaliana na muajiri kulingana na ratiba yangu. Umri: Miaka 27 Elimu Diploma ya Ualimu wa Sekondari somo...
1 Reactions
0 Replies
560 Views
Habari zenu wadau kwa wale wanaofahamu hali ya mishahara ikooo vipi kwene kampuni hii Nimeitwa kazini ila swala la mshahara bado sijaambiwa baada ya kufanya interview Sent from my SM-A037F...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa natumai wazima, Jamani mimi nina umri( 26) nina elimu ya form six. Nimeamua kutimuka nyumbani kabisa kisa mzee mtata kweli kakataa kuniendeleza chuo na pia hataki nitafute vya...
1 Reactions
12 Replies
835 Views
Kama mnavyojua eneo la kazi ni eneo lenye changamoto nyingi kama vile umbea,kupigwa majungu, kupakaziwa kesi,unafiki na fitina makazini. Pia bila kusahau kazini kuna masinitch , waongo , n.k...
0 Reactions
7 Replies
774 Views
Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%. Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo...
0 Reactions
5 Replies
820 Views
Habari wanajukwaa, Leo tugusie kidogo visa na vioja makazini. Kama mnavyojua kazini ni sehemu ya kutafutia riziki na wahenga walisema penye riziki hapakosi fitina Vimekuwa vikishuhudiwa visa na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema, mm ni mkazi wa tanga natafuta mfanyakaz yoyote wa huaxin Cement Nina shida naye..kama hatojali naomba sana anitext PM Sent from my...
1 Reactions
0 Replies
556 Views
Bila shaka mu bukheri wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Leo ningependa tujadiliane kidogo kuhusiana na manufaa tuyapatayo sisi Wahandisi tuliosajiliwa (Professional...
3 Reactions
9 Replies
617 Views
Nawasogezea hii vijana , Mpya kabisa . kila la kheri
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari, poleni na majukumuu ya kazi Kuna rafiki angu kaomba ushauri juu ya hili swala nimeshindwa kumshauri naombeni mawazo yenu kama kawaida katika kupambana na utumishi akafanikiwa kufika...
1 Reactions
12 Replies
772 Views
Back
Top Bottom