Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi ni mwalimu wa masomo ya biolojia pamoja na kemia, Graduate(UDSM) Ninatafuta kazi. Nimetuma maombi sehemu mbalimbali kwa njia ya email na watsup lkn sijaitwa hata sehemu moja. Ninaomba...
5 Reactions
12 Replies
781 Views
Habarin Wana JF heshima yenu wote 🙏🏾 natumaini wote ni wazima kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uzima anao tujaalia kila siku itwapo Leo.... Ndugu zangu mbele yenu ni kijana mtanzania nina ishi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nina degree ya Computer science natafuta kazi
1 Reactions
4 Replies
551 Views
Ndugu zangu, Nawasalimu. Nina miliki boti ya uvuvi yenye uwezo wa kuvua bahari kuu, chombo kinaweza kubeba hadi tani moja na nusu ya samaki. Kwa mazingira yetu ya Kitanzania, chombo hiki ni cha...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wa JF, Natafuta kazi jamani mwenye CONNECTION please elimu yangu form four na Six
1 Reactions
7 Replies
719 Views
Wakuu habari zenu, Hongereni na majukum na poleni kwa yale magumu yanayotuandama. Nimekuja kwenu wakulungwa. Kama Kuna dereva wa hizi gari kubwa, au kwa namna yoyote unahusika na hizi gari kubwa...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Tulitangaziwa makazini kwamba uhamisho wa kada ya afya ni mwezi wa 9 na wa 3 lakini mwezi wa 3 ushapita na hakuna taarifa yoyote. Kama mmeshindwa kufuata huo utaratibu mliouweka si bora muendelee...
0 Reactions
7 Replies
748 Views
Habari za leo ,Mimi nina degree ya uhasibu pia Nina uzoefu wa cashier kwa miaka 5. Pia nimeaomea udereva na uzoefu wa mwka mmoja nikiendesha bolt,naendesha auto na manual.nipo tayari kwa kazi...
1 Reactions
4 Replies
948 Views
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa...
38 Reactions
453 Replies
21K Views
UPSCALE SHOP MIKOCHENI iliyopo DAR ES SALAAM inawatangazia nafasi ya kazi UHIFADHI WA KUMBUKUMBU ZA BIDHAA (DATA ENTRY RECORDS). SIFA YA MWOMBAJI * Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE...
1 Reactions
1 Replies
934 Views
Nimekosa nafasi ya usaili nikiambiwa sikuhakiki vyeti kwa mwanasheria ilihali nilifanya hivyo na vyote kwenye mfumo vimehakikiwa MIMI NIMEKOSA KUITWA USAILI HIZI AJIRA 800 ZA MAENDELEO YA JAMII...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Tusaidiane wakuu, Naomba kujuzwa ilipo ofisi za Unique Consultancy Service na ninachojua ni kuwa wapo kwenye jengo la New Red Cross Building ila tatizo ni kwamba sijui maeneo lilipo hilo jengo na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi kwanini hili swala la walimu wakitoka kusoma na wakapeleka vyeti vyao sehemu husika na wakabadilishwa muundo huwa hauna impact kwenye mshahara wao.? SANA SANA inapelekea kutopanda madaraja...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari, A Sales and marketing officer is needed. (Cheti sio muhimu ) Skills needed 1. Deals closer 2. Uwe na ushawishi 3. Marketing skills NB : Should be able to help reach monthly target Salary...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Nashida ya kazi, nilipokua nafanya kazi Kampuni imefungwa. Jamani hata iwe ya maslahi madogo ile iwe ya uhakika tu, hata kazi ya usaidizi ofisini, hata dukani. Hata kazi ya kusimamia choo cha...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wana Jukwaa hili. Kampuni ya STAR OIL inahitaji mtu ambaye ni mjuzi wa kutengeneza pump za petrol station. Ambaye itamwajiri moja kwa moja. Kazi yake kubwa itakuwa ni kutatua changamoto...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Name: Hamza Issa Omary Proffesion: Driver/ Teacher Education level: Bachelor Of Arts and Education since 2015 Subject: History and Swahili Language: English and Swahili fluently Location: Dar es...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 36 natafuta kazi yoyote halali mkoani Arusha. Nina cheti cha hoteli na pia nina uzoefu wa mwaka mmoja katika kazi ya House keeping na upishi wa pizza.
0 Reactions
2 Replies
817 Views
wadau naomba kuuliza nafasi za kazi TANZANIA CIGARETTE COMPANY huwa zna tangazwa wapi? Sababu sijawahi kutana na advert la hawa jamaa.
0 Reactions
41 Replies
14K Views
Mnaojiandaa na usaili wa utumishi nafasi ya Afisa Maendeleo ya Jamii, tupeane mbinu za kutoboa usaili. Una uzoefu wa hizi saili share tujue zinakuweje, eneo gani la kusoma sana wakati wa kujiandaa.
2 Reactions
31 Replies
7K Views
Back
Top Bottom