Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habar naitwa Samson kijana nilesoma stashada ya utabibu (diploma in clinical medicine)natafuta kazi nipo tayari kufanya kaz katika mazingira yoyote.....!!! Kama kuna mtu anahitaji kijana wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kuna kampuni nimepata kazi ila nipo ktk kipindi cha probabation period Je ni mambo Gani ya kuzingatia kipindi hiki kwa mwajiriwa wako Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari, Natafuta ajira yoyote inayoendana na elimu yangu na hata nafasi ya ajira nyingine zozote kwasababu nina uwezo wa kujifunza haraka na kuendana na mazingira mbalimbali. Natanguliza...
4 Reactions
8 Replies
625 Views
Habari, Naitwa MGISHA M. ANDERSON kwa sasa ni mwanafunzi wa sheria mwaka wa pili katika chuo kikuu cha ushirika Moshi, nina diploma ya sheria natafuta sehemu ya kujitolea ili niweze kujifunza...
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Habari wadau, Huu ni uzi spesheli kwa waliowahi au walioajiriwa, kwa wale wataalamu wakujiajiri hapa siyo sehemu sahihi. Kuna njia mbalimbali ambazo watu huzipitia ili kufikia kwenye ajira, wapo...
29 Reactions
457 Replies
90K Views
[emoji845]NISAIDIE KUPATA MCHONGO[emoji845] Nina degree ya COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT. [emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi. Nisaidie hata...
0 Reactions
0 Replies
326 Views
[emoji845]NISAIDIE KUPATA MCHONGO[emoji845] Nina degree ya COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT. [emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi. Nisaidie hata...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Habarini, Nina barua yenye check namba, niliyoambiwa kwamba nionapo tangazo mamlaka yoyote ya ajira nchini ikiwemo sekretarieti ya ajira niombe ili niweze kupangiwa kituo kulingana na uhitaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, bila shaka mko poa. Poleni kwa hoja za bandari na DP World. Sasa kuna jambo naombeni wajuzi mnisaidie, hivi pesa stahiki anayopaswa kulipwa mtumishi wa ajira mpya zinazotolewa...
1 Reactions
98 Replies
11K Views
Wakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje. Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Natafuta ajira yoyote inayoendana na elimu yangu na hata nafasi ya ajira nyingine zozote kwasababu nina uwezo wa kujifunza haraka na kuendana na mazingira mbalimbali. Natanguliza shukrani za...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Habarini Wana JF Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili nasoma Bsc in chemistry. Hivyo nahitaji kujitolea wakati wa likizo kuanzia mwezi wa nane Hadi kumi na moja. Mwenye connection kiwanda...
1 Reactions
8 Replies
697 Views
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “The supply of beans to The School of St Jude, Sisia Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are invited to submit their...
0 Reactions
0 Replies
395 Views
Habari za humu wana jukwaa wenzangu, Mimi ni kijana natafuta kazi yoyote itakayo niingizia kipato ¤Umri wangu:25 yrs ¤Elimu: Form Six Nawaombeni ndugu zangu nipo Kilwa-Lindi Contacts:0623217775...
2 Reactions
0 Replies
751 Views
Wakuu kwema, wakubwa zangu hali tete, naomba kwa anaefahamu majina ya makampuni yanayoajiri wadada kwa kufanya usafi maofisini na mahali ofisi zao zilipo anitajie nikajiunge walau nipate chochote...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale vijana wenzangu mnaofanya kazi kwa dunia ya leo inavyokwenda unapokuwa na kazi hakikisha kwa pembeni una biashara yako au kampuni yako ya itayokuwa inakupa kipato. Mambo ya makazini...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari Natafuta kazi yeyote ambayo nitapata kipato japo hata 10,000 kwasiku maana majukumu yamenizidi wazazi hawapo vizuri kiuchumi na mzazi wa kiume(Baba wa Familia) alifariki inanilazimu...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika. Vigezo Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza Awe na simu ya smart phone Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer Awe anajua kutype kwenye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale walimu na wa afya tukutane hapa uku tukisikilizia PDF soon litashushwa hapa. Iwe tetesi ama laa karibuni wakuu. Nimesikia wiki ijayo linatema hapa pdf mishale ya tarehe 15 hapo June
3 Reactions
187 Replies
24K Views
Wakuu kama kuna mtu yoyote alishafanya aptitude test ya alistair anijuze inakuaje.
2 Reactions
98 Replies
25K Views
Back
Top Bottom