Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi naitwa fredy ni mwanafunzi wa chuoo kikui cha mtakatifu augustine saut mwanza. Nina swali moja tu naomba ushauri hii kozi inaajira au hamna maana naona haina mwelekeo
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama unakipaji cha kutunga nyimbo tuwasiliane kuna Beat ipo inatakiwa kutungiwa nyimbo kali yenye melody nzuri kifupi HIT SONG. Hakikisha unaujua muziki na unajua muziki unaotakiwa kwa sasa...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Wale wadau wa IT em tusaidiane mawazo jana nilifanikiwa kufanya mtihani wa TA information systems IFM lakini cha kunishangaza nilikutana na pepa ya system administrator...mpaka kuna swali 1...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
JOB ANNOUNCEMENT VACANCY TITLE:- ACCOUNTANT (1 Post) - FULL TIME JOB AT: - T & B GROUPEMENT LTD,DAR ES SALAAM RESPONSIBILITIES Managing accounting and control, improve, and establish...
0 Reactions
2 Replies
510 Views
Habarini ndugu zangu…kama kichwa cha habari kinavosema , nimefanikiwa kuitwa kwenye moja ya oral-interview za tutorial assistant kwenye chuo x. Lengo la uzi huu ni kuuliza kwa mtu yeyote ambaye...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF Naomba kuuliza kwa wale waliokuwa-shortlisted MUCE, vip mmeona interview number kwenye account zenu? Maana mimi kwangu hadi sasa hivi hamna kitu na interview ni kesho.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mimi n kijana mpambanaji hapa Mjini! Na ata kuna threads nyingine za nyuma mlishanishauri na sasa ni vyema tu mambo yanaenda vizuri namshukuru Mungu! Kwa uwepo wenu na mawazo yenu ila mimi leo...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Job Title: Corporate Bank & Global Subsidiaries Group Head Job Description The County Business Head is a senior management-level position responsible for accomplishing results through the...
0 Reactions
1 Replies
331 Views
Habari! Nahitaji vijana 10 hadi 20 ambao wanajihusisha na kazi ndani ya kariakoo, kwa lugha nyepesi bila kumumunya maneno nahitaji winga wa kariakoo nifanye nao kazi ya kufanya utafiti wa bidhaa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Job Title: Procurement Officer Duty Station: Mwanza Job Description We require a person who has Strong communication and negotiation skills. Good analytical and strategic thinking skills and...
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Habari wakuu.. Wiki kadhaa zilizopita nilikua nikituma maombi ya kazi.. kutumia ajira portal.. nilikua naitwa kwenye usaili.. sikufanikiwa.. kufaulu.. Nikaomba mara ya pili sikuitwa.. sababu...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari Vijana wa JF, Leo nianze kwa kutoa ushauri kidogo kwa wale wote wanaotaka kwenda kufanya kazi Ughaibuni hasa Saudia, Oman, Qatar etc. i) Tujiandae na nafasi ambazo tunahitaji (you) ii)...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitaj kufaham hii course ya afisa cadet inatolewaga kila Mwaka au ?? Na kama n kila Mwaka inaanza mwez gani na inachukuaga mda gani
2 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari wana JF, Jamani natafuta kazi yeyote Kiwandani au Hotelini,, Naombeni Connection Nipo tayari, namba zangu ni 0676795851 au 0744795851
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Habari wana jukwaa! Kijana anahitaji kazi ndogo ndogo za nyumbani e g usafi, bustani, gate keeper. Umri miaka 19. Mwenyeji wa Dodoma Pia kama kuna mwenye uhitaji wa housemaids tuwasiliane. Kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hongereni vijana mliopata kazi wengine tuzidi kupambana
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Job Title: Advisor – TB & TB/HIV Service Delivery Reports to: Senior Advisor Quality Service Delivery Duty Station: Morogoro Job Description The Advisor – TB & TB/HIV Service Delivery is a...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Job Title: Logistics Officer (Post 11) Report to: Officer Duty Station: Dar es Salaam Duties and Responsibilities: Collect specimen from health facilities to the lab and test results from the...
1 Reactions
0 Replies
462 Views
Job Title: Chief Executive Officer Job Type: Full Time Reports to: Country Director Experience: 12 years Duty Station: Dar es salaam Job Description The CEO is responsible to provide strategic...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Samahani nimeitwa kwenye usaili ambao utafanyika tarehe 14/09/2022 chuo cha DUCE, Kwenye tangazo la walioitwa kwenye usaili nipo kwenye nafasi nne nilizoomba ila mpaka muda huu kwenye akaunti...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom