Nina shahada sayansi na elimu (mwalimu wa chemistry na biology)
Nimeoa naombeni mwenye connection ya kazi yoyote anisaidie kwani napitia kipindi kigumu
Nina uzoefu wa kufundisha na pia na kazi...
Intern- Operations Assistant
Description
Callab Tanzania Company Limited is company established with the purpose of providing laboratory equipment testing and calibration services in Tanzania.The...
Habari wanandugu
Anahitajika mtu wa kutoa dawa
Awe mwanaume
Umri kuanzia 23-25
Awe na cheti Cha addo
Duka lipo Arusha monduli eneo la Engaruka,umeme maji masaa 24,huduma nyingine muhimu zipo...
Naitwa shedrack hussein salim natafuta gari ya mkataba nina uzoefu wa miaka6 kufanya kazi na bolt na Uber kama una gari mpya nitafute tutaongea kama amboyo imetumika pia tutaongea kama itafaa...
Leo nina moja la msingi kwenu sekretariati ya ajira zingatieni mwaka wa kumaliza masomo ya vyuo mnavoita wanasaili kwa ajili ya mchujo.. mtu aliyemaliza mwaka 2017 hawezi complete na mtu alomaliza...
Hello brethrens
Naombeni ushauri/muongozo
Ni Vigezo gani anatakiwa kuwa navyo mtu.
Anaehitaji kufungua kampuni inayojihusisha na mapishi ya vyakula kwa lengo la kusambaza maofiseni na kupata...
Habari za sasa hivi wakubwa.
Mimi ni kijana wa kiume
Umri 22
Afya njema
Napatikana Morogoro Mjini, Niko hapa kuomba connection yoyote ya kazi au tenda za kufanya kwa ajili ya kupata pesa either...
TECCO is an organization which provide loans to small and medium scale farmers and entreprenuers in Kondoa and Ruvuma regions.
We are looking for loan officers at our branches( Kondoa and...
Ni siku nyingine tena na natumaini wote tupo salama, nimeleta uzi huu kwenu kwa yeyote mwenye ukaribu na tasnia ya filamu.
Wakiwemo madirector, maproducer, wasanii na hata wahusika wengineo...
Mimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwenye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa
Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.
Wenu...
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu...
Wakuu nimetimba hapa Duce aisee ni aibu. Kuna mazingira yote ya urasimu unaendelea kwenye interview zilizofanyika jana.
Tulitegemea matokeo yawekwe kwenye sekretarieti ya ajira lakini haikuwa...
Mimi Ni kijana wa miaka 26
Nina shahada sayansi na elimu (mwalimu wa chemistry na biology)
Nimeoa naombeni mwenye connection ya kazi yoyote anisaidie kwani napitia kipindi kigumu
Nina uzoefu wa...
Wakuu habari zenu?
Kam kichwa cha habari kinvyosomeka, naomba kwa yeyote anayefahamu anaiambie vitu/ vigézo vya msingi vya kizingatia kwa ajili ya KUFUNGUA KAMPUNI ya USAFI ila kupata tenda...
Habari jamani mimi ni mgeni humu ningependa kujua mengi kuhusu interview za utumishi kwa upande wa latra kama kuna ambae ameshawahi kushiriki anipe hints kidogo.
Vodacom Early Careers Programmes 2022 (Programu za Ajira za Mapema za Vodacom 2022)
Maelezo:
Vodacom, tunafanya kazi kwa bidii ili kujenga maisha bora ya baadaye. Ulimwengu uliounganishwa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.