Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Mobile Equipment Operator II – Truck to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate...
Ni vyema kabla hujatake risk kizembe ukayajua yafuatayo kwenye usahili..
Idadi ya wanaotakiwa kwa kata yako then upime je una connection?
Vigezo vitavyowafanya watu wapate nafasi je ww unavyo...
Position Description
The Bulyanhulu Team is seeking to recruit a Scoop Operator to join and grow their team.
You will be expected to align to the Barrick DNA and to operate within our mining...
Nahitaji wafanyakazi 2 wa kuuza duka la nguo Kariakoo, jinsia yoyote.
Umri kuanzia miaka 18<>30
Elimu form four na kuendelea.
Awe na mdhamini mwenye makazi ya kudumu.
Awe na kitambulisho cha...
SMARTPHONETZ_USED
HABARI WAPENDWA
BEI ZA SIMU USED FROM UK
Samsung s6 210000
Samsung s6+ 240000
Samsung s7 270000
Samsung s9 330000
Samsung s8+ 380000
Samsung s9+ 400000
Samsung s10+ 560000...
Experienced app developers needed, you must be able to create a complex system yet maintainable that will involve some complex programming.
High priority will be given to those who employ the use...
Wakubwaa habari za majukumu...
Tuwekane sawaa kwenye hili cognitive report ni kitu gani na nini ? Kuna shirika linataka Cognitive report ili procedure za kuaajili ziendeee:
Je kwa tanzania kuna...
Wakuu poleni sana kwa kusubiri muda mrefu kuona orodha ya majina ya waliochaguliwa kushiriki zoezi muhimu la kitaifa kuhusiana na sensa ya watu na makazi mwaka huu 2022. Wengi wenu mliomba mkiwemo...
KAZI ZENYEWE NI KAMA IFUATAVYO
1.CONSTRUCTION OPERATOR
2.BLASTER
3.LONG HOLE DRILLER
4.GRADER OPERATOR
5.SCOOP OPERATOR
NMEWAWEKEA NA PDF DOWNLOAD
KWA MAELEKEZO MAPANA ZAIDI
AJIRA KWA WOTE HUJUI...
Hivi kuna nini kinaendelea kwenye mambo ya ajira za sensa
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu...
Habari zenu wanaJF?
Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto za kuwa askari (mwanajeshi), lakini dunia ina mambo mengi, mpaka sasa nimeshindwa kutimiza ndoto hiyo.
Nimeajiriwa lakini sina furaha...
Mfano Majina ya Sensa yametoka kila Mkoa na wilaya na Halimashauri zake. lakini ukifungua yanakataa. Wataalamu tunaomba msaada wenu na majibu Yenu kitaalamu.
Nimethibitisha kuwa majina ya sensa yapo katani tayari fuatilia jina lako mimi langu nimeisikia lipo lakini nipo mbali na nilipo ombea tarehe 19 to 21 mwezi huu usahili.
Hivi wakuu kwenye usahili...
Abraar Education Centre tunahitaji fundi pikipiki mzoefu ambae ana uwezo wa kutatua matatizo yote ya kiufundi kwa pikipiki zilizozoeleka Tanzania.
Tunaanzisha kituo kipya cha mafunzo ya ufundi...
Kuna nafasi ya kazi ya afisa mikopo kwenye ofisi ya Microfinance.
Ni ofisi ambayo ndo inaanza kutoa huduma ya mikopo midogo midogo hivyo inahitaji mfanyakazi mwenye elimu ya diploma ya...
Fleet Managers (2 Posts)
Mechanical or Automobile Engineers with long (10-15 yrs) experience as Fleet Managers. Experience shall include Workshop management...
Naitwa Baraka Ally.Mwanafunzi wa Mwaka wa kwanza course ya Culture Anthropology and Tourism katika chuo kikuu cha iringa zamani Tumaini. Hivi punde mwezi wa 7 tutafunga chuo hivyo basi naomba mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.