Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Wadau, Leo tumekuja na fursa ya kazi (paid opportunity) kwa mafundi waliopo Dar es Salaam. Inaweza ikakufaa wewe au mtu unayemfahamu. Mfikishie taarifa hii. Tunahitaji Mafundi 5 wenye ujuzi wa...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Mazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia. Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable). So naona siwezi kuendelea nao mbele. Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha. Mnanishaurije?
6 Reactions
113 Replies
12K Views
Habarini ndugu Nimekuja mbele yenu ninaomba kazi yoyote ilimrad niingize kipato niwez kujkim mahtaj yang Umri wangu 23 Jinsia kiume Sehemu ninayoish Tegeta nyuki Dar es salaam Kazi ninazoziweza...
1 Reactions
0 Replies
407 Views
Hi Kuna kitu kinashangaza, hivi kwanini wanawake hawapewi nafasi sawa na wanaume kwenye kazi za udereva. Je hawawezi, au Ni dhana ya kuwa mwanaume ndo ataweza kazi ya udereva. Je kwa wewe...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu mwenye kujua chochote written interview mechanical technician pale TAA anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu, Kwa mwenye kujua maswali ya interview yanayoulizwa kwa nafasi za WARDEN UTUMISHI naomba mwongozo nipate mwanga. Nina interview wiki hii Utumishi. Possible questions for WRITTEN...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SIFA 1. Umri usizidi miaka 30 2. Awe anajua kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha. 3. Awe na lugha nzuri kwa wateja na wafanyakazi wenzake. 4. Ajue kutumia kompyuta...
0 Reactions
8 Replies
997 Views
1. Nimepewa kazi ya kumtafuta mining Sorveyour mwenye uzoefu usio pongua miaka 2 akiwa kwenye mining industry. 2. Nikimpeleka mimi hatokua na usaili kwasababu ninaaminiwa na General Manager. 3...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Jamani kama mtu anafanya vizuri kwanini tusimpongeze? Binafsi bado sijapata ajira ya serikali lakini nina matumaini makubwa kuwa Mambo yatarudi kama zamani. Sasa hivi ajira zinatangazwa utumishi...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
EMPLOYER: Parliament of Tanzania APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Kuandika majadiliano ya vikao vya Kamati na Bunge yaliyorekodiwa katika sauti; ii...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kuuliza kua ni lini watatoa majina ya walioomba sensa na je watatumia utaratibu gani je kuna uwezekano wa form 4 kuchaguliwa akakosa wa chuo kikuu? Asanteni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa anaejua io salary scales ya PGSS 6 ni ngapi anipe info.
0 Reactions
18 Replies
26K Views
Umofia kwenu wana JF, 1. Kwa siku za karibuni kumekua na utaratibu mpya ambao ajira nyingi za serikali na taasisi zake zinahitaji kigezo cha cheti cha JKT. Hii imepelekea vijana wengi kukosa sifa...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
1. Mention tools of the human resource officer 2. Vertical alignment is the alignment of hr practices with org toward achieving the org objectives. explain characteristics of vertical alignment 3...
2 Reactions
5 Replies
635 Views
Hivi kweli majina yametumwa halmashauri nachoamini huu mtandao hakuna habari fake fake werevu naombeni majibu sahihi kozi niko mbali na halmashauri niliyoombea nimesafiri dah
0 Reactions
14 Replies
1K Views
POST RECTOR – 1 POST EMPLOYER: Institute of Accountancy Arusha (IAA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-10 2022-06-23 JOB SUMMARY The Rector must have proven experience to develop and coordinate the...
0 Reactions
2 Replies
622 Views
POST AFISA UGAVI DARAJA LA II - 2 POST EMPLOYER Parliament of Tanzania APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Kutayarisha makisio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
POST COORDINATOR OF ADMISSIONS AND ARTICULATIONS II – 1 POST EMPLOYER The National Council for Technical and Vocational Education and Training (NACTVET) JOB SUMMARY N/A DUTIES AND...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Abraar Computer Class. Fursa ya ajira ya kudumu. Kuna nafasi ya ajira ya Mwalimu wa kufundisha "short courses" za Basic Computer Applications. Mwalimu awe na uwezo wa kufundisha kwa vitendo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom