Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Habari zenu! 1.Wanaofanya first screening(kuwa shortlisted au not)ni hao hao utumishi au maombi yanatumwa idara husika(mwajiri)?? 2.Hivi anaesaili watu wanaokuwa shortlisted ni ajira portal...
0 Reactions
4 Replies
794 Views
Habari zenu wataalam! Kuna nafasi moja ya kazi anahitajika trained Sonographer. Awe na good professional conduct. Location: Dar es Salaam, waliopo maeneo ya karibu watapewa kipaumbele. Kituo ni...
1 Reactions
3 Replies
832 Views
Salaam kutoka BUKOBA HOPE LUTHERAN SEC SCHOOL YA ELCT BUKOBA. Naomba ikiwa mtu ana Mwl wa Mathematics na Physics mwenye Diploma au Digrii ya kwanza, amwambie awasiliane na Mtaaluma 0759742310 au...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Kwa majina naitwa MOHAMED HABIBU MOHAMED ni mkazi wa mkoa wa DoDoma,umri wangu miaka 25 mwenye elimi ya kidato cha nne (4). Nina nina fani ya udereva pia ni mzoefu usio pungua maika 3 ya...
0 Reactions
3 Replies
851 Views
Habari yako, Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar au pwani kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Husika na kichwa cha habari apo, mdogo wenu nakuja tena kwa Mara nyingine nilikuwa naomba kujua maswali mbalimbali yanayoulizwa utumishi wakati wa usaili kwa watu wa, - afisa utumishi au human...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wadau Naomba kujua format ya maswali ya utumishi kwa hii nafasi
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Hello, Natafuta mtu mwenye uzoefu wa kufanya marketing katika sekta ya Utalii!! position based in Arusha! Uaminifu katika kazi uwe wa kiwango cha juu!! Njoo inbox
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Mimi ni dereva nina uzoefu mkubwa wa kutosha natafuta gari nifanyie kazi ya Uber/bolt Gari ndogo. Hesabu au mkataba vyote sawa Kwa yeyote Alie nayo Napatikana Temeke Mawasiliano: 0717285828
1 Reactions
13 Replies
2K Views
COMPANY NAME: ASILIA LODGES AND CAMPS LTD POSITION: ASSISTANT CAMP MANGER DEPARTMENT: FIELD OPERATIONS REPORTING TO: FIELD OPERATIONS MANAGER At Asilia we aim to...
0 Reactions
1 Replies
466 Views
TERMS OF REFERENCES (TOR) Position Title: Records Management- Intern Report to: People & Culture Manager Duration : One Month Location : Dar Es Salaam Key Responsibilities...
0 Reactions
1 Replies
412 Views
Nature and scope: The job holder reports to the Resource Mobilization Manager. He/She is responsible for development of the resource mobilization strategy; has a direct responsibility for...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Job Description Role Purpose • Maintain and support of IP/MPLS network operational activities • Controlling, managing and acting as second level support for data and internet customers • Ensure...
0 Reactions
0 Replies
540 Views
POST DESCRIPTION SVN IOM/KGM/015/2022 Position title Construction Engineer Position grade UG Duty station Kigoma, United Republic of Tanzania Durations 4 Months, with possible...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Kuna shirika limetangaza nafasi za kazi na wanahitaji kuattach kitu inaitwa COVER LETTER sasa naomba msaada hii cover letter ndo inaandikwaje?
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wataalamu mambo vipi, kuna ndugu yangu aliomba nafasi kama Thread tittle inavyojieleza hapo juu hivi karibuni na tarehe 18 ya Jumamosi anatakiwa akafanye usaili (Written) Nilikuwa naomba kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Why applications zinagoma!
0 Reactions
5 Replies
758 Views
Background: The National Institute for Medical Research (NIMR) is a parastatal organization established by an Act of parliament No.23 of 1979 (CAP.59, R.E. 2002) and became operational in 1980...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
POST ENGINEER II (PRODUCTION) – 2 POST EMPLOYER Petroleum Upstream Regulatory Authority(PURA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-14 2022-06-27 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Recording...
0 Reactions
6 Replies
858 Views
Habari wakuu, Ninashida na kujua wap wanatoa nafasi za data clerk part time kwa hapa Dar. Nauliza hapa kwa sababu humu kuna watu mbali mbali wanaofanya kazi mbali mbali Elimu Diploma in...
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Back
Top Bottom