Habari zenu Wakuu poleni Kwa Majukum ya kila Siku. Mimi ni mmoja Wa YouTubers (Pharmacy Yetu) ninahitaji mtu wa kunitengenezea Intro ya channel yangu!
Kwa yule anae weza naomba aje inbox tuongee
POST CUSTOMS ASSISTANT II – 80 POSTS
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION, LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION...
Habari zenu,
Kuna dada mmoja ana mtoto mlemavu, mwanaume amemkataa kisa amezaa mlemavu, sasa amehangaika amesomea mipango miji, Anahangaika kutuma maombi ya ajira sehemu mbalimbali, lakini...
Kuna yoyote humu amefanikiwa ku apply nafasi za ualimu kupitia huu mfumo wao ?
Kama yupo naomba anipe mbinu ni muda gani system inakua imetulia mana me kila nikijaribu naona mapichapicha tu
Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.
Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na...
CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI
Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu
hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic...
1. UKIPEWA KAZI/KUAJIRIWA
Tambua Kuwa Hiyo Kazi Muda Wowote Muajiri wako anaweza kukufukuza Endapo Hutofanya kazi Hiyo kwa bidii, kwahiyo hakikisha unafanya kazi ya watu kwa bidii zote na Nguvu...
Naomba kujuzwa wale wote waliofanikiwa kuomba ajira kupitia Mfumo wa Uombaji uliopo ndani ya Tovuti ya TAMISEMI anijuze.
Tangu jana naona mfumo unasumbua tu.
Habari wadau, mimi ni kijana wa kitanznia umri wa miaka 21 naishi Dar es Salaam nina elimu ya stashahada natafuta kazi kama graphic designer nina uzoefu wa miaka miwili nina uzoefu wa designing...
Kuna mtu ameaaply wizara amesubmit kimakosa sasa kuna marekebisho anahitaj kufanya na kuongeza baadhi ya document akifanya hivo inagoma sababu alisha submit deadline tar 28 siaja namsaidiaje
Nb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.