Ndugu Waajiri chondechonde, Unatoa Tangazo la kazi VIJANA wanaomba unawaita kwenye interview wengine wanatoka Kakonko, manyovu, rulenge, nachingwea kutoka huko hadi dar two days anafika mjin alale...
Hii kitu ilijitokeza 2020, mfano mtu unaitwa John Mutalemwa Koku, umezaliwa, 7/9/1996, ukisave pale kwenye personal details. Jina linabadilika na kuwa John Mtalemwa (wameondoa U) Koku.
Kwenye...
Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye
mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania.
Hata hivyo, kwa kupatwa na...
Jamani nipo kijijini maporini huku natumia opera mini.
Naombeni mnijulishe ni vitu gani niviandae ambavyo vimeambatanishwa kwenye tangazo la ajira?
Je,barua ya kujitolea nayo ni muhimu?
Summary: The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Public Health Specialist (Associate Director of Programs) in the Centers for Disease...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T. S/he...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T...
Position Program Officer – Climate Smart Economic Empowerment (CSEE)
Job Location Dar es Salaam
Reporting to Program Manager
Background:
Norwegian Church Aid (NCA) is a diaconal organization...
BACKGROUND
As one of the original eight pilot countries for the UN Reform initiative Delivering as One, Tanzania is a global leader in advancing reforms of the UN system, with a view to support...
JOB TITLE: Storekeeper
TYPE OF CONTRACT: Fixed Term Appointment
UNIT/DIVISION: Supply Chain Unit/RBJ
DUTY STATION (City, Country): Dar Es Salaam Port Office, Tanzania
DURATION: One year
WFP...
Wadau kwema? Nimewahi kuapply ajira za waalimu japo uhitaji ulikuwa ni wa sayansi na mm ni arts, bt sikupata, ilikuwa ni 2018,nauliza je kama sitaki kuapply hizi za juzi maombi yangu ya zamani...
Hallo ndugu zangu,
Mimi ni msanii chipukizi wa filamu. Tuna filamu yetu ambayo tunaandaa.
Sasa tunakosa baadhi ya watu Fulani watu ambao tuliwachukuwa kiukweli hawana talent yeyote tunajaribu...
Habari wakuu,
Kusema kweli kwa Sasa ajira nchi hii zimegubikwa na uhuni ,mjuano na mtoto wa flani!
Asikwambie mtu ajira zote hasa hizi za serikali, wizara zote ni mwendo wa kujuana futeni hizo...
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao...
Habari,
Mimi ni binti wa miaka 24
Nahitaji kazi za online
Ninaishi Dar es Salaam, Mbezi Mwisho
Secretary, Customer service
Nina Diploma ya Communication
Pia Ninajua kuzungumza English
Pia...
Lejea somo tajwa hapo juu.
Nimemapiza shahada yangu Mwaka 2017 Chuo kikuu Mzumbe
Natafuta kazi maana sina ajira toka nmemaliza chuo zaidi ya kupalangana ili kuendesha maisha yngu yenye mahitaji...
Nshasajiri account ya ajira, Tamisemi since 2020.
Hivi tuna-create upya account kwa kutumia Email au nida au tunatumia zilezile za nyuma
Na sehemu ya ku-create account mbona siioni
Wadau habari za siku nyingi, mimi ni miongoni mwa wadau wanaotarajia kurejeshea kazini upya.
Nimepambana vya kutosha ishu ni kwamba mpaka sasa sijapata jibu la mwisho ukiangalia ni miaka zaidi...
Jamani naombeni msaada nataka kuomba Kazi Ila Cheti changu kilikua hakijawa certified saiz nime certify nashindwa kukiweka na kile ambacho not certified nakitoaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.