Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Hope mko poa Tamisemi kwenye ajira za walimu, wanatoa option ya muombaji kuchagua shule anayoitaka. Muombaji anapewa option tano. Lakini Cha kushangaza vijana waliopata ajira ninao wafahamu...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari zenu Wana JF natafuta kazi ya kuuza duka, usafi maofisini au viwandani Elimu: kidato Cha sita Jinsa: Mwanamke Umri; 25 Mahali: Mwanza
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi ni muhitimu was kidato cha sita masomo ya sanaa, kwa sasa najishughilisha na ufundi wa maji safi na taka majumbani (plumbing) ujuzi niliojifunza mtaani na mpaka sasa nina uzoefu wa miaka...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Habari Wadau. Naomba kufungua mazungumzo haya kuzungumzia Suala la Kazi za Kujitolea na Umuhimu wake sambamba na madhara yake unapochukulia kwa wepesi nafasi hizi pindi unapozipata. (Kutokana na...
7 Reactions
25 Replies
7K Views
Je, Wazanzibar wanaomba kupitia ajira portal hii au kuna ajira portal yao? Nimeona nafasi za TRA usaili ulifanyika DSM, Dodoma na Zanzibar. Hao waliofanya usaili Zanzibar walipatikanaje? Naomba...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jf Kwa Mara nyingine nimekuja mbele yenu nikiwa natafuta sehemu yoyote ili ya kujitolea anglau niweze kupata uzoefu Nina shahada ya sosholojia nani mkazi wa mkoa wa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mm ni kijna miaka 22 ninaomba kazi ya kujitolea hususani kwenye maduka, supermarket, na kokote panako faa. Mimi Niko vizuri katika Mambo ya: Marketing, public relations, stores na sales Lengo...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Mkuranga is one of the six districts of Pwani Region in Tanzania. It is bordered to the north by Dar es Salaam, to the east by the Indian Ocean, to the south by Rufiji District, and to the west by...
1 Reactions
1 Replies
601 Views
TANZANIA HOME ECONOMICS ASSOCIATION (TAHEA) JOB Opportunities Background Tanzania Home Economics Association (TAHEA) is a national professional organization of nutritionists, home economics...
1 Reactions
1 Replies
603 Views
TAHEA is seeking qualified candidates to immediately fill the following vacancies: – Project Accountant (1 Position) Position Description: Project accountant will be supporting finance...
0 Reactions
1 Replies
588 Views
Habari wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa chuo Arusha mjini hapa. Naomba kwa mwenye connection ya kupata part time job hasa kwenye migahawa/restaurants. Msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
POST PERSONAL SECRETARY II – 2 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER Mzumbe University APPLICATION TIMELINE: 2022-04-15 2022-04-28 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To...
0 Reactions
1 Replies
698 Views
Ndugu zangu mimi ni dereva mzuri sana nahitaji kazi ya udereva leseni yangu ni daraja C na ni dereva wa gari zozote zile ndugu zangu tusaidiane jamani ndugu zangu iyo certificate yangu
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Njaa kali, majukumu mengi na umri unasogea hata mtaji wa kuanzisha biashara ndogo imeshindikana. Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe ni kweli lakini kila ninachopata kidogo kinaenda kwenye...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, kwa anayejua suluhu ya "application failed" kwenye ajiraportal ilihali upo kwenye category sahihi na ulishawahi ku apply awali but for now inagoma mno. Nani alishapata solution?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wana JF, Mimi ni moja kati ya vijana ambao tumebahatika Kumaliza chuo mwaka huu 2021/2022 sina budi kumshukuru Mungu kwa hilo. Nimesoma Bsc. Human Nutrition, chuo kikuu cha Sokoine cha...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salaam, Kuna kazi zimetoka siku 2 hizi, zimetokea Wizara ya Afya zikitangaza kada tofauti tofauti, katika kada hizo pia kuna nafasi za madereva (4), lakini wameelezea vigezo na masharti ya kada...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA...
11 Reactions
39 Replies
7K Views
Habari wana JF, Kuna fursa tunaweza ku ungana kama vijana na tukajiajiri wenyewe(kwa walio serious tu) Nahitaji vijana wasiopunguwa kumi(10) ili tuweze ku ungana na kujiajiri wenyewe Vijana hao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom